Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    May 04, 2017 03:04

    Wanaharakati, wafungwa wa kisiasa na wananchi wengine wa Afrika Kusini wamesusia kula chakula kuonyesha uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina waliosusia kula tangu Aprili 17 wakiwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria

    Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria

    Apr 27, 2017 23:11

    Wananchi wa Afrika Kusini wameendelea kufanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi wakitaka kujiuzulu Rais wa nchi Jacob Zuma.

  • Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ataka Rais Zuma achunguzwe

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ataka Rais Zuma achunguzwe

    Apr 24, 2017 03:49

    Makamu wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema anaunga mkono kufanyika uchunguzi kuhusu madai ya ufisadi yanaoizunguka serikali ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Wanafunzi karibu 20 wafariki dunia katika ajali ya barabarani Afrika Kusini

    Wanafunzi karibu 20 wafariki dunia katika ajali ya barabarani Afrika Kusini

    Apr 22, 2017 01:40

    Dereva na watoto 19 wa shule wameaga dunia nchini Afrika Kusini wakati basi walilokuwa wakisafiria lilipogongana na lori na kulipuka kwa moto katika mkoa wa Mpumalanga.

  • Naibu wa Zuma amtaka asikilize matakwa ya waandamanaji

    Naibu wa Zuma amtaka asikilize matakwa ya waandamanaji

    Apr 17, 2017 09:32

    Naibu Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema viongozi wanapaswa kuwasikiliza waandamanaji nchini humo ambao wanamtaka Rais Jacob Zuma ajiuzulu au aondolewe madarakani baada ya mabadiliko yake ya baraza la mawaziri kupelekea nchi hiyo kushushwa kiwango cha kiuchumi.

  • Wapinzani Afrika Kusini waandamana; wamtaka Zuma aondoke madarakani

    Wapinzani Afrika Kusini waandamana; wamtaka Zuma aondoke madarakani

    Apr 12, 2017 09:38

    Maelfu ya watu leo Jumatano wameandamana huko Pretoria mji mkuu wa Afrika Kusini dhidi ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kufuatia mabadiliko aliyofanya katika baraza lake la mawaziri na kukabiliwa na ukosoaji mkubwa ndani.

  • Afrika Kusini kizimbani ICC leo kwa kutomkamata Rais wa Sudan

    Afrika Kusini kizimbani ICC leo kwa kutomkamata Rais wa Sudan

    Apr 07, 2017 02:27

    Afrika Kusini hii leo inatazamiwa kupanda kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutoa sababu za kutomkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipoitembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.

  • Maelfu ya Waafrika Kusini kuandamana leo kushinikiza Rais Zuma ajiuzulu

    Maelfu ya Waafrika Kusini kuandamana leo kushinikiza Rais Zuma ajiuzulu

    Apr 07, 2017 00:12

    Maelfu ya watu wanatazamiwa kuandamana leo katika miji mikubwa ya Afrika Kusini dhidi ya Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma wakimtaka ajiuzulu baada ya mabadiliko aliyolifanyia Baraza la Mawaziri ambayo yamezusha mgogoro mpya kwa uongozi wake.

  • Wabunge wa ANC kumuunga mkono Zuma katika kura ya kutokuwa na imani naye

    Wabunge wa ANC kumuunga mkono Zuma katika kura ya kutokuwa na imani naye

    Apr 06, 2017 10:05

    Wabunge wa chama tawala cha African National Congress (ANC) nchini Afrika Kusini wametangaza kuwa, watapinga hoja ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma katika Bunge la nchi hiyo iliyopangwa kuwasilishwa bungeni Aprili 18.

  • Muungano wa vyama vya wafanyakazi Afrika Kusini wamtaka Zuma ajiuzulu

    Muungano wa vyama vya wafanyakazi Afrika Kusini wamtaka Zuma ajiuzulu

    Apr 04, 2017 23:40

    Shirikisho Kuu la Vyama vya Wafanyakazi Afrika Kusini (Cosatu) limemtaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo aachie ngazi likisisitiza kuwa mwanasiasa huyo amepoteza itibari na uwezo wa kuliongoza taifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS