-
Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina
May 04, 2017 03:04Wanaharakati, wafungwa wa kisiasa na wananchi wengine wa Afrika Kusini wamesusia kula chakula kuonyesha uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina waliosusia kula tangu Aprili 17 wakiwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.
-
Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria
Apr 27, 2017 23:11Wananchi wa Afrika Kusini wameendelea kufanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi wakitaka kujiuzulu Rais wa nchi Jacob Zuma.
-
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ataka Rais Zuma achunguzwe
Apr 24, 2017 03:49Makamu wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema anaunga mkono kufanyika uchunguzi kuhusu madai ya ufisadi yanaoizunguka serikali ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
Wanafunzi karibu 20 wafariki dunia katika ajali ya barabarani Afrika Kusini
Apr 22, 2017 01:40Dereva na watoto 19 wa shule wameaga dunia nchini Afrika Kusini wakati basi walilokuwa wakisafiria lilipogongana na lori na kulipuka kwa moto katika mkoa wa Mpumalanga.
-
Naibu wa Zuma amtaka asikilize matakwa ya waandamanaji
Apr 17, 2017 09:32Naibu Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema viongozi wanapaswa kuwasikiliza waandamanaji nchini humo ambao wanamtaka Rais Jacob Zuma ajiuzulu au aondolewe madarakani baada ya mabadiliko yake ya baraza la mawaziri kupelekea nchi hiyo kushushwa kiwango cha kiuchumi.
-
Wapinzani Afrika Kusini waandamana; wamtaka Zuma aondoke madarakani
Apr 12, 2017 09:38Maelfu ya watu leo Jumatano wameandamana huko Pretoria mji mkuu wa Afrika Kusini dhidi ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kufuatia mabadiliko aliyofanya katika baraza lake la mawaziri na kukabiliwa na ukosoaji mkubwa ndani.
-
Afrika Kusini kizimbani ICC leo kwa kutomkamata Rais wa Sudan
Apr 07, 2017 02:27Afrika Kusini hii leo inatazamiwa kupanda kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutoa sababu za kutomkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipoitembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.
-
Maelfu ya Waafrika Kusini kuandamana leo kushinikiza Rais Zuma ajiuzulu
Apr 07, 2017 00:12Maelfu ya watu wanatazamiwa kuandamana leo katika miji mikubwa ya Afrika Kusini dhidi ya Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma wakimtaka ajiuzulu baada ya mabadiliko aliyolifanyia Baraza la Mawaziri ambayo yamezusha mgogoro mpya kwa uongozi wake.
-
Wabunge wa ANC kumuunga mkono Zuma katika kura ya kutokuwa na imani naye
Apr 06, 2017 10:05Wabunge wa chama tawala cha African National Congress (ANC) nchini Afrika Kusini wametangaza kuwa, watapinga hoja ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma katika Bunge la nchi hiyo iliyopangwa kuwasilishwa bungeni Aprili 18.
-
Muungano wa vyama vya wafanyakazi Afrika Kusini wamtaka Zuma ajiuzulu
Apr 04, 2017 23:40Shirikisho Kuu la Vyama vya Wafanyakazi Afrika Kusini (Cosatu) limemtaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo aachie ngazi likisisitiza kuwa mwanasiasa huyo amepoteza itibari na uwezo wa kuliongoza taifa.