Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Zuma ampiga kalamu nyekundu Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini

    Zuma ampiga kalamu nyekundu Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini

    Mar 30, 2017 23:51

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Fedha wa nchi hiyo, Pravin Jamnadas Gordhan.

  • Afrika Kusini yapania kuiuzia Iran mfumo wa makombora

    Afrika Kusini yapania kuiuzia Iran mfumo wa makombora

    Mar 20, 2017 03:58

    Mtandao wa habari wa mybroadband umeripoti kuwa Afrika Kusini inataka kuiuzia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mfumo wa makombora ya ardhini hadi angani.

  • Afrika Kusini yaunga mkono mpango wa kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Afrika Kusini yaunga mkono mpango wa kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Mar 17, 2017 13:08

    Afrika Kusini imesisitiza kuwa inaunga mkono suala la kuasisiwa nchi huru ya Palestina ili kuhitimisha mzozo wa Mashariki ya Kati.

  • ANC yaahidi kutokomeza ufisadi Afrika Kusini

    ANC yaahidi kutokomeza ufisadi Afrika Kusini

    Mar 12, 2017 10:13

    Chama tawala cha Afrika Kusini, ANC, kimesema, kinapaswa kumaliza ufisadi na kukomesha mifarakano baina ya wanachama sambamba na kutekeleza ahadi za kuangamiza umaskini iwapo kinataka kusitisha mkondo wa sasa wa kupoteza umashuhuri.

  • Afrika Kusini yarejea nyuma katika azma yake ya kujiondoa mahakama ya ICC

    Afrika Kusini yarejea nyuma katika azma yake ya kujiondoa mahakama ya ICC

    Mar 09, 2017 04:38

    Serikali ya Afrika Kusini imetangaza rasmi kuachana na azma yake ya awali ya kutaka kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Afrika Kusini yatakiwa ifike ICC kujieleza kwa kutomkamata rais Bashir wa Sudan

    Afrika Kusini yatakiwa ifike ICC kujieleza kwa kutomkamata rais Bashir wa Sudan

    Mar 08, 2017 12:24

    Afrika Kusini imetakiwa kufika katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC mwezi Aprili kujieleza baada ya kukataa kumkamata Rais Omar al Bashir wa Sudan alipotembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.

  • Zuma: Afrika Kusini itaruhusu utaifishaji wa ardhi bila ya fidia

    Zuma: Afrika Kusini itaruhusu utaifishaji wa ardhi bila ya fidia

    Feb 24, 2017 10:48

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema leo kuwa nchi hiyo itazifanyia marekebisho sheria zake ili kuruhusu utaifishaji wa ardhi bila ya kuwalipa fidia wamiliki wa ardhi hizo, katika kipindi hiki ambapo nchi hiyo inajaribu kuharakisha zoezi la kuwagawia tena ardhi raia weusi walio wengi wa nchi hiyo.

  • Waafrika Kusini watakiwa kukomesha mashambulizi dhidi ya wageni

    Waafrika Kusini watakiwa kukomesha mashambulizi dhidi ya wageni

    Feb 23, 2017 23:37

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Afrika Kusini amewataka wananchi wa nchi hiyo kuwa watulivu kufuatia ghasia na machafuko yanayowalenga wahajiri na raia wa nchi za kigeni nchini humo.

  • Mahakama Kuu Afrika Kusini yazuia serikali kujiondoa mahakama ya ICC

    Mahakama Kuu Afrika Kusini yazuia serikali kujiondoa mahakama ya ICC

    Feb 22, 2017 12:38

    Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imezuia zoezi la serikali ya nchi hiyo la kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Zuma: Afrika Kusini itaendelea kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Zuma: Afrika Kusini itaendelea kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Feb 10, 2017 21:56

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amezihimiza nchi zote duniani ziendelee kuwaunga mkono na kuwatetea watu wanaokandamizwa wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS