Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Rais wa Afrika Kusini anusurika kwa mara ya tatu na kura ya kutokuwa na imani naye

    Rais wa Afrika Kusini anusurika kwa mara ya tatu na kura ya kutokuwa na imani naye

    Nov 11, 2016 00:51

    Bunge la Afrika Kusini limeukataa mpango wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Malema ataka sheria ya ardhi ya kipindi cha Apartheid ifutwe

    Malema ataka sheria ya ardhi ya kipindi cha Apartheid ifutwe

    Nov 08, 2016 00:53

    Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) ambaye anataka kutaifishwa mabenki, migodi na ardhi nchini Afrika Kusini amesema kuwa, atashinikiza Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo itupilie mbali sheria ya ardhi ya kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi (apartheid) inayotumiwa dhidi yake mahakamani kutokana na kutoa wito wa kutwaliwa mashamba makubwa ya kilimo yanayomilikiwa na wazungu waliowachache.

  • Ripoti mpya ya ufisadi wa kifedha dhidi ya Rais Jacob Zuma yamuweka pabaya

    Ripoti mpya ya ufisadi wa kifedha dhidi ya Rais Jacob Zuma yamuweka pabaya

    Nov 03, 2016 04:46

    Taasisi ya kupambana na ufisadi wa kifedha nchini Afrika Kusini imetoa ripoti yake mpya kuhusiana na tuhuma za ufisadi zinazomkabili Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Gordhan akataa kuzungumzia uungaji mkono wa ANC kwake

    Gordhan akataa kuzungumzia uungaji mkono wa ANC kwake

    Oct 27, 2016 10:13

    Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini Pravin Gordhan leo amekataa kueleza iwapo ana imani na uungaji mkono wa kisiasa wa chama tawala cha ANC kwake, ikiwa imesalia chini ya wiki moja kabla ya kutakiwa kujibu mahakamani tuhuma zinazomkabili.

  • Afrika Kusini kujiondoa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Afrika Kusini kujiondoa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Oct 21, 2016 10:12

    Afrika Kusini imetangaza rasmi azma yake ya kujiondoa kwenye Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Machar: Nataka kukutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini

    Machar: Nataka kukutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini

    Oct 17, 2016 00:59

    Makamu wa rais wa zamani na kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini amesema anataka kuonana ana kwa ana na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ili amueleze 'mambo nyeti' juu ya mgogoro wa kisiasa na mapigano yanayoendelea katika nchi yake.

  • Maandamano ya wanachuo Afrika Kusini yashika kasi; polisi yaendelea kukabiliana nayo

    Maandamano ya wanachuo Afrika Kusini yashika kasi; polisi yaendelea kukabiliana nayo

    Oct 10, 2016 10:49

    Maandamano ya wanachuo nchini Afrika Kusini yanaripotiwa kuongezeka baada ya baadhi ya vyuo kufunguliwa.

  • Iran na Afrika Kusini zaendeleza mashauriano ili kuimarisha uhusiano

    Iran na Afrika Kusini zaendeleza mashauriano ili kuimarisha uhusiano

    Sep 28, 2016 03:58

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zinaendeleza mashauriano kati yao ili kufuatilia kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali, khususan kisiasa na kiuchumi.

  • Rais Jacob Zuma: Afrika Kusini imeazimia kufikia ustawi wa kudumu

    Rais Jacob Zuma: Afrika Kusini imeazimia kufikia ustawi wa kudumu

    Sep 21, 2016 10:42

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuwa, nchi yake imeazimia kufikia malengo ya ustawi wa kudumu.

  • Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima

    Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima

    Sep 16, 2016 09:56

    Wananchi wa mji wa Tshwane nchini Afrika Kusini wamebainisha hasira zao baada ya kupatikana maandishi ukutani yenye kuwavunjia heshima Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS