Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Operesheni ya kuwaokoa wachimba mgodi Afrika Kusini yaendelea

    Operesheni ya kuwaokoa wachimba mgodi Afrika Kusini yaendelea

    Sep 12, 2016 11:42

    Kikosi cha uokozi nchini Afrika Kusini, kimeendelea na shughuli za kuwaokoa wachimba madini waliokwama katika mgodi wa Langlaagte kwa siku kadhaa sasa.

  • Maandamano dhidi ya Zuma mbele ya makao makuu ya ANC

    Maandamano dhidi ya Zuma mbele ya makao makuu ya ANC

    Sep 05, 2016 09:42

    Wanachama wa chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC) leo Jumatatu wamepiga nara na shaari nje ya makao makuu ya chama hicho wakimtaka Rais Jacob Zuma ajiuzulu.

  • Afrika Kusini yasisitiza mapambano dhidi ya ugaidi

    Afrika Kusini yasisitiza mapambano dhidi ya ugaidi

    Aug 23, 2016 03:13

    Rais wa Afrika Kusini amesisitiza kuunga mkono juhudi za mapambano dhidi ya ugaidi.

  •    Kupungua ushawishi wa chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini

    Kupungua ushawishi wa chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini

    Aug 13, 2016 03:18

    Matokeo ya kura za uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini zilizohesabiwa hadi sasa yanaonesha kupungua ushawishi wa chama tawala cha ANC nchini humo.

  • Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Afrika Kusini waitisha mgomo

    Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Afrika Kusini waitisha mgomo

    Aug 12, 2016 00:19

    Wafanyakazi wa Shirika la Umeme nchini Afrika Kusini wametoa wito wa kuendeleza mgomo wa wafanyakazi wote wa shirika hilo kwa lengo la kushinikiza kuongezewa mshahara wao.

  • ANC yapigwa mweleka katika mji mkuu Pretoria

    ANC yapigwa mweleka katika mji mkuu Pretoria

    Aug 06, 2016 09:38

    Chama tawala nchini Afrika Kusini cha Congresi ya Taifa (ANC) kimepigwa mweleka wa kihistoria na chama cha upinzani cha Muungano wa Demokrasia (DA) katika uchaguzi wa mabaraza ya miji huko Tshwane ambayo yanahesabika kuwa makao makuu ya Pretoria mji mkuu wa uendeshaji.

  • Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Jul 31, 2016 03:09

    Afrika Kusini imetangaza kuwa iko tayari kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya kufikia maridhiano ya kitaifa baina ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na harakati ya Fat-h.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 11:00

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini

    Mtandao wa magidi wasambaratishwa A. Kusini

    Jul 11, 2016 23:15

    Vyombo vya usalama nchini Afrika Kusini vimetangaza kuwa vimefanikiwa kuwatia nguvuni washukiwa wanne wa ugaidi katika operesheni maalumu iliyofanywa nchini humo.

  • Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Rufaa ya Zuma kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake yakataliwa

    Jun 24, 2016 10:14

    Mahakama Kuu mjini Pretoria nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ya kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake, hatua ambayo ni pigo kwa rais huyo ambaye anakabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu kutoka viongozi wa upinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS