-
Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini
Jun 23, 2016 03:00Machafuko na ghasia zimeripotiwa kupamba moto katika kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.
-
Machafuko yaongezeka Afrika Kusini kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji
Jun 23, 2016 00:16Machafuko yameongezeka nchini Afrika Kusini sanjari na kukaribia uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini humo.
-
Zuma akata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi dhidi yake
Jun 10, 2016 09:36Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuagiza kufufuliwa kesi zaidi ya 700 za ufisadi wa kifedha dhidi yake.
-
Baada ya Marekani, UK nayo yatahadharisha shambulio la kigaidi Afrika Kusini
Jun 07, 2016 09:57Serikali ya Uingereza imeitahadharisha Afrika Kusini juu ya uwezekano wa kujiri shambulio la kigaidi dhidi ya watalii wa kigeni nchini humo.
-
Afrika Kusini: Tahadhari ya Marekani haina msingi wowote
Jun 06, 2016 22:59Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini, David Mahlobo amesema kuwa, tahadhari ya kuwepo uwezekano wa kujiri hujuma ya kigaidi nchini humo ambayo imetolewa na serikali ya Marekani, haina msingi wowote.
-
Binti wa Desmond Tutu avuliwa Ukasisi kwa kuoa mwanamke mwenzake
May 24, 2016 23:36Binti wa Desmond Tutu, kiongozi mashuhuri wa Kikristo wa Afrika Kusini amevuliwa joho la Ukasisi baada ya kuoa mwanamke mwenzake.
-
Rais wa Afrika Kusini akata rufaa juu ya kesi za ufisadi dhidi yake
May 24, 2016 11:50Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza kuwa atakata rufaa kupinga kufufuliwa kesi za ufisadi wa kifedha dhidi yake.
-
Tanzania, Kenya na Afrika Kusini zaanza kununua gesi asilia ya Iran
May 22, 2016 23:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kuziuzia nchi za Afrika Kusini, Kenya na Tanzania gesi asilia oevu (LNG).
-
Wabunge wa upinzani Afrika Kusini waburutwa nje ya Bunge kwa kuzuia hotuba ya Zuma
May 17, 2016 10:07Kwa mara nyingine tena, Bunge la Afrika Kusini limegeuka na kuwa ukumbi wa mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.
-
CIA ilitoa taarifa zilizopelekea kukamatwa Shujaa Mandela mwaka 1962 huko Durban
May 15, 2016 23:27Hayati Shujaa Nelson Mandela wa Afrika Kusini alikamatwa na utawala wa makaburu mwaka 1962 kufuatia taarifa za siri zilizotolewa na shirika kuu la kijasusi la Marekani, CIA.