Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa

    Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa

    May 08, 2016 03:03

    Tume ya uchunguzi wa mauaji ya mwaka 2012 katika kijiji cha Marikana nchini Afrika Kusini imemsaili mkuu wa zamani wa polisi wa nchi hiyo.

  • Wapinzani wa Afrika Kusini wasusia kikao cha bunge

    Wapinzani wa Afrika Kusini wasusia kikao cha bunge

    May 06, 2016 08:33

    Wabunge wa vyama vya upinzani jana Alkhamisi walikataa kuhudhuria kikao cha bunge. Siku ya Jumatano wabunge wa chama cha Economic Freedom Fighters walifukuzwa bungeni kutokana na kuvuruga shughuli za bunge.

  • Waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini wachoma shule 13

    Waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini wachoma shule 13

    May 05, 2016 09:42

    Waandamanaji wenye hasira wameteketeza shule 13 katika mkoa wa kaskazini mwa Afrika Kusini.

  • Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma

    Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma

    May 04, 2016 22:16

    Bunge la Afrika Kusini jana Jumatano liligeuka na kuwa ukumbi wa mieleka huku wabunge wa upinzani wakizusha fujo kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma juu ya bajeti.

  • Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    May 03, 2016 23:53

    Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.

  • Waandamanaji  Afrika Kusini wamtaka Rais Zuma ajiuzulu

    Waandamanaji Afrika Kusini wamtaka Rais Zuma ajiuzulu

    Apr 27, 2016 23:37

    Wapinzani nchini Afrika Kusini wameitisha maandamano ya kumshinikiza Rais Jacob Zuma ajiuzulu.

  • Malalamiko ya chama tawala nchini Afrika Kusini dhidi ya matamshi ya wapinzani

    Malalamiko ya chama tawala nchini Afrika Kusini dhidi ya matamshi ya wapinzani

    Apr 26, 2016 22:03

    Chama tawala nchini Afrika Kusini kimetoa taarifa na kutangaza kuwa, matamshi ya Julius Malema mmoja wa wapinzani wa Rais Jacob Zuma ni hiana na usaliti dhidi ya maslahi ya kitaifa na kwamba, serikali ya nchi hiyo itamshtaki.

  • Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Rais wa Afrika Kusini

    Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Rais wa Afrika Kusini

    Apr 25, 2016 08:53

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ambaye Jumapili aliwasili Tehran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu alikutana na kufanya mazungumzo na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • ANC kumpandisha kizimbani Malema, ametishia kutumia silaha dhidi ya chama tawala

    ANC kumpandisha kizimbani Malema, ametishia kutumia silaha dhidi ya chama tawala

    Apr 25, 2016 08:37

    Chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC) kimesema kunapanga mikakati ya kumfikisha mahakamani kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters, Julius Malema baada ya kusema kuwa atatumia silaha kukiondoa madarakani chama cha ANC.

  • Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake

    Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake

    Apr 24, 2016 23:34

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya wanawake Bi. Shahindokht Molaverdi amesema, Iran na Afrika Kusini zitashirikiana katika kuinua hadhi ya wanawake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS