-
Mkuu wa zamani wa polisi Afrika Kusini asailiwa
May 08, 2016 03:03Tume ya uchunguzi wa mauaji ya mwaka 2012 katika kijiji cha Marikana nchini Afrika Kusini imemsaili mkuu wa zamani wa polisi wa nchi hiyo.
-
Wapinzani wa Afrika Kusini wasusia kikao cha bunge
May 06, 2016 08:33Wabunge wa vyama vya upinzani jana Alkhamisi walikataa kuhudhuria kikao cha bunge. Siku ya Jumatano wabunge wa chama cha Economic Freedom Fighters walifukuzwa bungeni kutokana na kuvuruga shughuli za bunge.
-
Waandamanaji wenye hasira nchini Afrika Kusini wachoma shule 13
May 05, 2016 09:42Waandamanaji wenye hasira wameteketeza shule 13 katika mkoa wa kaskazini mwa Afrika Kusini.
-
Wabunge wa Afrika Kusini watandikana juu ya hotuba ya Zuma
May 04, 2016 22:16Bunge la Afrika Kusini jana Jumatano liligeuka na kuwa ukumbi wa mieleka huku wabunge wa upinzani wakizusha fujo kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma juu ya bajeti.
-
Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji
May 03, 2016 23:53Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.
-
Waandamanaji Afrika Kusini wamtaka Rais Zuma ajiuzulu
Apr 27, 2016 23:37Wapinzani nchini Afrika Kusini wameitisha maandamano ya kumshinikiza Rais Jacob Zuma ajiuzulu.
-
Malalamiko ya chama tawala nchini Afrika Kusini dhidi ya matamshi ya wapinzani
Apr 26, 2016 22:03Chama tawala nchini Afrika Kusini kimetoa taarifa na kutangaza kuwa, matamshi ya Julius Malema mmoja wa wapinzani wa Rais Jacob Zuma ni hiana na usaliti dhidi ya maslahi ya kitaifa na kwamba, serikali ya nchi hiyo itamshtaki.
-
Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Rais wa Afrika Kusini
Apr 25, 2016 08:53Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ambaye Jumapili aliwasili Tehran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu alikutana na kufanya mazungumzo na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
ANC kumpandisha kizimbani Malema, ametishia kutumia silaha dhidi ya chama tawala
Apr 25, 2016 08:37Chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC) kimesema kunapanga mikakati ya kumfikisha mahakamani kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters, Julius Malema baada ya kusema kuwa atatumia silaha kukiondoa madarakani chama cha ANC.
-
Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake
Apr 24, 2016 23:34Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya wanawake Bi. Shahindokht Molaverdi amesema, Iran na Afrika Kusini zitashirikiana katika kuinua hadhi ya wanawake.