-
Waasi wa Kikristo waua Waislamu 25 Jamhuri ya Afrika ya Kati
Oct 15, 2017 10:47Waasi wa Kikristo wenye mfungamano na genge la kigaidi la anti-Balaka wameua Waislamu 25 ndani ya msikiti katika mji wa Kembe wa kusini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Oct 10, 2017 12:15Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kushadidi zaidi mgogoro wa nchi hiyo.
-
OCHA: Hali ya mambo Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi
Sep 28, 2017 23:53Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeeleza wasiwasi mkubwa ilionao kutokana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika maeneo ya magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Watu 25 Wauawa katika Mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati, Waziri wa Ulinzi afutwa kazi
Sep 13, 2017 03:09Watu 25 wameuawa katika mapigano mapya huko Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) huku waziri wa ulinzi nchini humo akifutwa kazi kutokana na ongezeko la machafuko nchini humo.
-
Mapigano mapya yaibuka kati ya wanamgambo wa Seleka nchini CAR
Sep 09, 2017 11:57Duru za usalama nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati zimeripoti habari ya kujiri mapigano mapya kati ya waasi wa zamani wa kundi la Seleka katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mapigano yashadidi katika mji wa Bria Jamhuri ya Afrika ya Kati
Aug 21, 2017 03:52Mapigano makali yameripotiwa kati ya makundi ya Seleka na Anti-Balaka katika mji wa Bria wa katikati mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuua zaidi ya watu 10.
-
Chad: Walimwengu wachukue hatua za haraka kuzuia mauaji ya kimbari CAR
Aug 16, 2017 22:07Huku Umoja wa Mataifa ukionya juu ya uwepo wa viashiria vya kutokea mauaji ya kimbari katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad ameiomba jamii ya kimataifa ichukue hatua za ziada kuhusiana na suala hilo.
-
Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu wauawa CAR
Aug 09, 2017 22:33Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limeripoti kuwa, wafanyakazi wake kadhaa wameuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi huko kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Madaktari Wasio na Mipaka: Jamhuri ya Afrika ya Kati inakabiliwa na hali ya hatari
Jul 31, 2017 00:08Shirika la Madaktari Wasio Mipaka limetangaza kuwa, Jamhuri ya Afrika ya Kati inakabiliwa na hali mbaya na ya hatari.
-
Watu kadhaa wauawa katika mapigano ya ndani CAR
Jul 01, 2017 02:03Mapigano yanayojiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yamesababisha vifo vya watu wawili na kujeruhiwa wengine wanne.