Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Nov 01, 2024 23:30

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameipongeza Algeria kwa kuadhimisha miaka 70 ya mapinduzi yake, akielezea utayarifu wa Iran wa kuimarisha uhusiano na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyuga mbali mbali.

  • Ijumaa, tarehe Mosi Novemba, 2024

    Ijumaa, tarehe Mosi Novemba, 2024

    Oct 31, 2024 22:57

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rabiuthani 1446 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba 2024.

  • Alkhamisi, tarehe 19 Septemba, 2024

    Alkhamisi, tarehe 19 Septemba, 2024

    Sep 19, 2024 00:59

    Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hijria sawa na 19 Septemba mwaka 2023.

  • Boko Haram waua wanakijiji 127, wachoma moto maduka na nyumba kaskazini ya Nigeria

    Boko Haram waua wanakijiji 127, wachoma moto maduka na nyumba kaskazini ya Nigeria

    Sep 03, 2024 23:12

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa ni wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamevamia kijiji cha kaskazini mashariki mwa Nigeria wakiwa na pikipiki na kufyatua risasi sokoni na kuteketeza maduka na nyumba sambamba na kuua watu wapatao 127. Hayo ni kwa mujibu wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International na Polisi ya Nigeria.

  • Mwanajudo wa Algeria akataa kushindana na mwakilishi wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris

    Mwanajudo wa Algeria akataa kushindana na mwakilishi wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris

    Jul 29, 2024 22:58

    Judoka wa Algeria amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.

  • Algeria yasimamisha matamasha ya sanaa kuiunga mkono Gaza

    Algeria yasimamisha matamasha ya sanaa kuiunga mkono Gaza

    Jul 13, 2024 08:07

    Wizara ya Utamaduni ya Algeria imetangaza kusimamisha matamasha yote makubwa ya sanaa katika msimu huu wa joto kali, kuonyesha mshikamano na wananchi madhulumu wa Wapalestina wanaoendelea kuuawa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2024

    Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2024

    Jul 04, 2024 22:48

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Dhulhija 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 5 Julai mwaka 2024.

  • Alkhamisi, Juni 20, 2024

    Alkhamisi, Juni 20, 2024

    Jun 19, 2024 23:19

    Leo ni Akhamisi tarehe 13 Mfunguo Tatu Dhulhija 1445 Hijria sawa na tarehe 20 Juni 2024 Miladia.

  • Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Jun 13, 2024 22:43

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Juni 2024 Miladia.

  • Jumapili, 9 Juni, 2024

    Jumapili, 9 Juni, 2024

    Jun 08, 2024 22:49

    Leo ni Jumapili tarehe Pili Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria sawa na tarehe 9 Juni mwaka 2024 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS