Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Jumatatu, 22 Aprili, 2024

    Jumatatu, 22 Aprili, 2024

    Apr 24, 2024 06:52

    Leo ni Jumatatu tarehe 13 Mfunguo Mosi Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 22 Aprili 2024.

  • Rais wa Algeria atangaza uchaguzi wa rais wa mapema

    Rais wa Algeria atangaza uchaguzi wa rais wa mapema

    Mar 22, 2024 06:38

    Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria imeeleza kuwa nchi hiyo itaitisha uchaguzi wa mapema wa rais mwezi Septemba mwaka huu, miezi mitatu kabla ya muda uliokuwa umepangwa hapo awali.

  • Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti

    Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti

    Mar 03, 2024 12:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • US kuipigia veto rasimu ya azimio la Algeria la kusitisha vita Gaza

    US kuipigia veto rasimu ya azimio la Algeria la kusitisha vita Gaza

    Feb 18, 2024 11:05

    Maafisa wa Marekani wameapa kuwa nchi hiyo itatumia kura yake ya turufu kupinga rasimu ya azimio iliyowasilishwa na Algeria katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kutaka kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Ijumaa, tarehe 9 Februari, 2024

    Ijumaa, tarehe 9 Februari, 2024

    Feb 09, 2024 02:17

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rajab 1445 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 09 Februari mwaka 2024.

  • Algeria yawasilisha muswada wa azimio la kusitishwa vita huko Gaza

    Algeria yawasilisha muswada wa azimio la kusitishwa vita huko Gaza

    Feb 03, 2024 08:48

    Algeria imetoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza katika rasimu ya azimio iliyowasilishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Algeria kuliomba Baraza la Usalama lishinikize kutekelezwa hukumu ya ICJ dhidi ya Israel

    Algeria kuliomba Baraza la Usalama lishinikize kutekelezwa hukumu ya ICJ dhidi ya Israel

    Jan 27, 2024 11:55

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria ameitaka Ofisi ya Kudumu ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Umoja wa Mataifa iwasilishe ombi la kufanyika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la umoja huo, wa kujadili namna Israel itashinikizwa kuheshimu kivitendo maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).

  • Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Jan 13, 2024 06:16

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitangaza Cabo Verde kuwa nchi isiyo na Malaria kwa kufanikiwa kuutokomeza ugonjwa huo na kuipatia cheti rasmi cha uthibitisho.

  • Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Dec 15, 2023 02:58

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ametangaza utayarifu wa Bunge la Iran kufanya kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Palestina katika ngazi ya maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu kwa ajili ya kuchunguza njia za kivitendo za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Algeria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kujadili njia za kuishtaki Israel ICC

    Algeria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kujadili njia za kuishtaki Israel ICC

    Nov 28, 2023 06:17

    Algeria imejiunga na orodha ya nchi zinazotaka kufanyike uchunguzi kuhusiana na jinai za kivita zilizofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, na kushtakiwa utawala haramu katika vyombo vya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS