-
Jumamosi, 18 Mei, 2024
May 18, 2024 04:02Leo ni Jumamosi 9 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria sawa na 18 Mei 2024 Miladia.
-
Rais wa Algeria: Dunia imepoteza ubinadamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu
May 06, 2024 10:44Rais wa Algeria amesema, ubinadamu umepoteza nyanja zote za kiutu na ustaarabu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Ujumbe wa Algeria na azma yake ya kustawisha ushirikiano wa kiteknolojia na Iran
Apr 30, 2024 11:14Mkuu wa Chama cha Wafanyabiashara wa Algeria amepongeza maendeleo ya kiteknolojia ya Iran na kusisitiza azma ya nchi hiyo ya kuendeleza ushirikiano wa kiteknolojia na Iran.
-
Jumatatu, 22 Aprili, 2024
Apr 24, 2024 06:52Leo ni Jumatatu tarehe 13 Mfunguo Mosi Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 22 Aprili 2024.
-
Rais wa Algeria atangaza uchaguzi wa rais wa mapema
Mar 22, 2024 06:38Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria imeeleza kuwa nchi hiyo itaitisha uchaguzi wa mapema wa rais mwezi Septemba mwaka huu, miezi mitatu kabla ya muda uliokuwa umepangwa hapo awali.
-
Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti
Mar 03, 2024 12:29Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
US kuipigia veto rasimu ya azimio la Algeria la kusitisha vita Gaza
Feb 18, 2024 11:05Maafisa wa Marekani wameapa kuwa nchi hiyo itatumia kura yake ya turufu kupinga rasimu ya azimio iliyowasilishwa na Algeria katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kutaka kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza.
-
Ijumaa, tarehe 9 Februari, 2024
Feb 09, 2024 02:17Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rajab 1445 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 09 Februari mwaka 2024.
-
Algeria yawasilisha muswada wa azimio la kusitishwa vita huko Gaza
Feb 03, 2024 08:48Algeria imetoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza katika rasimu ya azimio iliyowasilishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Algeria kuliomba Baraza la Usalama lishinikize kutekelezwa hukumu ya ICJ dhidi ya Israel
Jan 27, 2024 11:55Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria ameitaka Ofisi ya Kudumu ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Umoja wa Mataifa iwasilishe ombi la kufanyika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la umoja huo, wa kujadili namna Israel itashinikizwa kuheshimu kivitendo maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).