-
Ijumaa, tarehe 9 Februari, 2024
Feb 08, 2024 22:47Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rajab 1445 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 09 Februari mwaka 2024.
-
Algeria yawasilisha muswada wa azimio la kusitishwa vita huko Gaza
Feb 03, 2024 05:18Algeria imetoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza katika rasimu ya azimio iliyowasilishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Algeria kuliomba Baraza la Usalama lishinikize kutekelezwa hukumu ya ICJ dhidi ya Israel
Jan 27, 2024 08:25Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria ameitaka Ofisi ya Kudumu ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Umoja wa Mataifa iwasilishe ombi la kufanyika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la umoja huo, wa kujadili namna Israel itashinikizwa kuheshimu kivitendo maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).
-
Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria
Jan 13, 2024 02:46Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitangaza Cabo Verde kuwa nchi isiyo na Malaria kwa kufanikiwa kuutokomeza ugonjwa huo na kuipatia cheti rasmi cha uthibitisho.
-
Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza
Dec 14, 2023 23:28Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ametangaza utayarifu wa Bunge la Iran kufanya kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Palestina katika ngazi ya maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu kwa ajili ya kuchunguza njia za kivitendo za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Algeria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kujadili njia za kuishtaki Israel ICC
Nov 28, 2023 02:47Algeria imejiunga na orodha ya nchi zinazotaka kufanyike uchunguzi kuhusiana na jinai za kivita zilizofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, na kushtakiwa utawala haramu katika vyombo vya kimataifa.
-
Rais wa Algeria: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepatwa na maradhi ya kupooza
Nov 25, 2023 08:41Rais wa Algeria amesema Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepatwa na maradhi ya kupooza na kwamba utawala ghasibu wa Israel haujali wala kuheshimu maamuzi ya taasisi hiyo ya kimataifa.
-
Waalgeria wasusia bidhaa za Ufaransa wakiwatetea Wapalestina
Nov 12, 2023 08:59Uhalifu na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza kwa msaada wa nchi za Magharibi zimewafanya wananchi katika nchi mbalimbali wasusie bidhaa zinazozalishwa katika nchi za Ulaya na Marekani.
-
Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni
Nov 08, 2023 00:03Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kinyama utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yana wajibu wa kusimamisha dhulma na hujuma hizo za kikatili za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Jumatano, tarehe Mosi Novemba, 2023
Oct 31, 2023 23:27Leo ni Jumatano tarehe 16 Rabiuthani 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba 2023.