-
Barua ya mfalme wa Saudia ya kuvuliwa uraia Sheikh Qassim Bahrain yafichuliwa
Jun 22, 2016 23:47Mfalme wa Saudia Salman bin Abdulaziz ndiye aliyetoa amri kwa utawala wa Bahrain kufuta uraia wa Sheikh Issa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini humo.
-
Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim ni njama ya Saudia
Jun 22, 2016 02:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, IRGC limetoa taarifa na kulaani hatua ya utawala wa kiimla wa Bahrain wa kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim na kusema hatua hiyo ilipangwa na utawala wa Saudia.
-
Dunia yaendelea kuikosoa Bahrain kwa kumvua uraia Sh. Isa Qassim
Jun 21, 2016 10:28Hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim, imeendelea kulaaniwa na asasi mbalimbali duniani, shakhsia mashuhuri na jamii ya kimataifa kwa ujumla.
-
Kamanda mwandamizi Iran aionya vikali Bahrain kwa kumvua uraia Ayatullah Isa Qassim
Jun 21, 2016 03:02Kufuatia hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim, kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ameuonya vikali utawala wa Aal Khalifa
-
Maulamaa wa Bahrain: Kuipiga marufuku Al-Wifaq ni kutangaza vita
Jun 16, 2016 11:00Maulamaa wa Bahrain wametangaza kuwa hatua ya utawala wa Aal Khalifa ya kuzifuta na kuzipiga marufuku jumuiya na asasi za upinzani, kufunga ofisi zao na kuwatia nguvuni watu ni sawa na "kutangaza vita".
-
Jamii ya kimataifa yaikosoa Bahrain kupiga marufuku al-Wefaq
Jun 15, 2016 02:45Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamelaani hatua ya utawala wa Bahrain ya kukipiga marufuku chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq.
-
Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain akamatwa
Jun 13, 2016 03:20Katika kuendelea ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain, wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa wamemtia mbaroni Nabil Rajab, mkuu wa kituo cha haki za binadamu nchini humo.
-
Bahrain imeweka rekodi ya kuwa na wafungwa wengi katika Mashariki ya Kati
Jun 11, 2016 23:59Bahrain inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafungwa kati ya nchi za Mashariki ya Kati kulingana na idadi ya raia wote wa nchi hiyo.
-
UN: Kuongezewa adhabu ya kifungo Sheikh Salman ni ukandamizaji wa kisiasa
Jun 02, 2016 03:18Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya uhuru wa maoni na uhuru wa kujieleza amelaani vikali uamuzi wa mahakama ya rufaa ya Bahrain wa kuidhinisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Harakati ya Al-Wifaq na kuongeza adhabu hiyo ya kifungo hadi miaka tisa.
-
Radiamali ya Iran kufuatia kuongezewa adhabu ya kifungo Sheikh Ali Salman
Jun 01, 2016 03:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hatua ya kumzidishia adhabu ya kifungo cha jela Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Kitaifa ya al Wifaq ya Bahrain.