Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

balozi

  • Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela

    Russia: Kuna uwekezano Marekani ikaishambulia kijeshi Venezuela

    Jul 19, 2018 07:52

    Balozi wa Russia nchini Venezuela ameonyesha masikitiko yake kutokana na uwezekano wa Marekani kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo.

  • Sudan yamwita balozi wa EU kulalamikia matamshi ya kutiwa mbaroni al Bashir

    Sudan yamwita balozi wa EU kulalamikia matamshi ya kutiwa mbaroni al Bashir

    Jul 12, 2018 15:00

    Kufuatia taarifa iliyotolewa na Umoja wa Ulaya juu ya udharura wa kutiwa mbaroni Rais Omar Hassan Ahmad al-Bashir wa Sudan, Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imemwita balozi wa umoja huo mjini Khartoum na kumfikishia malalamiko yake.

  • Balozi wa Qatar Palestina: Hamas sasa ina nguvu kubwa kuliko ilivyokuwa huko nyuma

    Balozi wa Qatar Palestina: Hamas sasa ina nguvu kubwa kuliko ilivyokuwa huko nyuma

    Jul 11, 2018 04:08

    Balozi wa Qatar huko Palestina amesema kuwa utawala wa Kizayuni unapasa kukubali matakwa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu eneo la Ukanda wa Ghaza kwa sababu harakati hiyo sasa iko imara zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.

  • Mabunge ya Iran na Kodivaa kuimarisha uhusiano baina yao

    Mabunge ya Iran na Kodivaa kuimarisha uhusiano baina yao

    Jun 09, 2018 17:10

    Balozi wa Iran nchini Ivory Coast ameonana na Spika wa Bunge la Senate la nchi hiyo na kujadiliana naye njia za kuimarishwa uhusiano baina ya mabunge ya nchi hizi mbili.

  • Serikali ya Cameroon yailalamikia Marekani kwa kuingilia masuala yake ya ndani

    Serikali ya Cameroon yailalamikia Marekani kwa kuingilia masuala yake ya ndani

    May 24, 2018 04:09

    Wizara ya mambo ya nje ya Cameroon imemwita balozi wa Marekani nchini humo na kumlalamikia kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • Imarati yamtimua balozi wake wa Ethiopia kwa kushindwa kuandaa safari ya mkuu wake

    Imarati yamtimua balozi wake wa Ethiopia kwa kushindwa kuandaa safari ya mkuu wake

    Apr 20, 2018 14:08

    Serikali ya Imarati imemrejesha nyumba na kumpiga kalamu nyekundu balozi wake nchini Ethiopia.

  • Salah Zawawi asifu utendaji na mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu Palestina

    Salah Zawawi asifu utendaji na mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu Palestina

    Dec 31, 2017 14:50

    Balozi wa Palestina hapa mjini Tehran amesifu utendaji na mtazamo wa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Palestina na makundi ya harakati ya Palestina.

  • Iran itashiriki vilivyo katika kuijenga upya Syria

    Iran itashiriki vilivyo katika kuijenga upya Syria

    Oct 30, 2017 04:00

    Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itashiriki vilivyo katika utekelezaji wa mipango itakayoainishwa na serikali ya Syria katika kujenga upya sekta mbali za uzalishaji, utoaji huduma na ustawi zilizoharibiwa vibaya na magenge ya kigaidi yaliyoivamia nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano na Bara la Afrika

    Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano na Bara la Afrika

    Oct 15, 2017 04:41

    Rais Hassan Rouhani amesema kustawisha na kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika hasa Nigeria ikiwa ni nchi rafiki na ya Kiislamu ni miongoni mwa misingi ya sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na akasisitiza kwamba mashirika makubwa ya Kiirani yako tayari kutekeleza miradi ya maendeleo nchini Nigeria.

  • Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Aug 22, 2017 08:13

    Serikali ya Senegal imetangaza kuwa, itamrejesha balozi wake ambaye awali ilimwita nyumbani baada ya kuanza mgogoro kati ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi na Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS