Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger

    Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger

    Nov 25, 2018 08:10

    Wasichana wasiopungua 18 wameripotiwa kutekwa nyara na watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha kusini mashariki mwa Niger.

  • Boko Haram yawateka nyara watema kuni 50 Nigeria

    Boko Haram yawateka nyara watema kuni 50 Nigeria

    Nov 23, 2018 07:56

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeripotiwa kuwateka nyara makumi ya watu waliokuwa wanatema kuni kaskazini mashariki mwa Nigeria, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Cameroon.

  • Askari wapatao 100 wa Nigeria wauawa katika shambulio dhidi ya kituo cha jeshi

    Askari wapatao 100 wa Nigeria wauawa katika shambulio dhidi ya kituo cha jeshi

    Nov 23, 2018 04:53

    Askari wapatao 100 wa jeshi la Nigeria akiwemo afisa wa ngazi za juu wa jeshi hilo wameuliwa katika shambulio dhidi ya kituo cha jeshi, ambapo duru za usalama zinasema, limefanywa na kundi linalojiita Dola la Kiislamu Afrika Magharibi.

  • Watu 7 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Watu 7 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Nov 22, 2018 14:43

    Watu waliojizatiti kwa silaha wanaoaminika kuwa na mfungamano na genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameshambulia kampuni ya kuchimba visima vya maji ya Ufaransa ya Foraco kusini mashariki mwa Niger na kuua watu wasiopungua saba.

  • Jeshi la Nigeria lakosolewa kwa 'kumuua mara mbili' kamanda wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lakosolewa kwa 'kumuua mara mbili' kamanda wa Boko Haram

    Nov 20, 2018 08:04

    Waandishi wa habari, wakosoaji wa serikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Nigeria wamelijia juu jeshi la nchi hiyo kwa kutangaza kuwa limemuua kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Boko Haram, licha ya kutoa taarifa kama hiyo mwaka jana.

  • Boko Haram yaua wakulima 16 Borno, kaskazini mwa Nigeria

    Boko Haram yaua wakulima 16 Borno, kaskazini mwa Nigeria

    Nov 14, 2018 14:30

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeshambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua wakulima wasiopungua 16.

  • Makumi ya watu waripotiwa kuaga dunia Nigeria kwa kipindupindu

    Makumi ya watu waripotiwa kuaga dunia Nigeria kwa kipindupindu

    Nov 13, 2018 02:52

    Kamisheni ya Wakimbizi ya Norway imetangaza kuwa idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu yameshika kasi zaidi huko kaskazini mwa Nigeria ambako makumi ya maelfu ya raia wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na mashambulizi yanayofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Mamia ya raia wakimbia baada ya shambulio la Boko Haram Nigeria

    Mamia ya raia wakimbia baada ya shambulio la Boko Haram Nigeria

    Nov 12, 2018 07:46

    Mamia ya wanavijiji juzi jioni walizikimbia nyumba zao huko kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya wanamgambo wa kundi la Boko Haram kuwashambulia.

  • Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa Boko Haram wameuwa watu 15 Nigeria

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa Boko Haram wameuwa watu 15 Nigeria

    Nov 01, 2018 16:20

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wamewauwa watu wasiopungua 15 katika shambulio dhidi ya vijiji vilivyoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo jana jioni.

  • Wakulima 12 wauawa na magaidi wa Boko Haram katika jimbo la Borno

    Wakulima 12 wauawa na magaidi wa Boko Haram katika jimbo la Borno

    Oct 21, 2018 07:44

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limewaua wakulima wasiopungua 12 na kujeuhi makumi ya wengine, baada ya kufanya shambulio katika kitongoji kimoja katika mji wa Maiduguri ulioko katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS