Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Cameroon: Tumelishinda na kulitokomeza kundi la Boko Haram

    Cameroon: Tumelishinda na kulitokomeza kundi la Boko Haram

    Sep 30, 2018 14:28

    Rais Paul Biya wa Cameroon amesema taifa hilo limefanikiwa kuliangamiza kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram ambalo limeua maelfu ya watu na kusababisha mamilioni ya wengine kuwa wakimbizi wa ndani na nje ya nchi.

  • Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 28, 2018 14:35

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara

    Sep 25, 2018 14:11

    Askari wa jeshi la Nigeria wamewaua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram katika operesheni inayolenga kutokomeza mabaki ya kundi hilo la kigaidi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 21, 2018 03:23

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.

  • Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Sep 17, 2018 02:22

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni iliyofanywa jana Jumapili na wanajeshi wa Nigeria katika jimbo la Borno, la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 15, 2018 07:42

    Watu wasiopungua wanane wanaripotiwa kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuvishambulia vijiji viwili.

  • Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Sep 08, 2018 07:05

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuachiliwa huru raia 21 kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram

    Sep 07, 2018 14:21

    Magaidi 14 wa kundi la Boko Haram wameuawa kwenye operesheni iliyofanywa na jeshi la Nigeria jana katika kijiji cha Pulka, wilaya ya Gwoza, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 02, 2018 02:23

    Askari 30 wa Nigeria wameuliwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Umoja wa Mataifa walaani shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 22, 2018 02:50

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi la kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria ambalo lilipelekea kuuawa makumi ya raia wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS