Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa Boko Haram wameuwa watu 15 Nigeria

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa Boko Haram wameuwa watu 15 Nigeria

    Nov 01, 2018 12:50

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wamewauwa watu wasiopungua 15 katika shambulio dhidi ya vijiji vilivyoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo jana jioni.

  • Wakulima 12 wauawa na magaidi wa Boko Haram katika jimbo la Borno

    Wakulima 12 wauawa na magaidi wa Boko Haram katika jimbo la Borno

    Oct 21, 2018 04:14

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limewaua wakulima wasiopungua 12 na kujeuhi makumi ya wengine, baada ya kufanya shambulio katika kitongoji kimoja katika mji wa Maiduguri ulioko katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Cameroon: Tumelishinda na kulitokomeza kundi la Boko Haram

    Cameroon: Tumelishinda na kulitokomeza kundi la Boko Haram

    Sep 30, 2018 10:58

    Rais Paul Biya wa Cameroon amesema taifa hilo limefanikiwa kuliangamiza kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram ambalo limeua maelfu ya watu na kusababisha mamilioni ya wengine kuwa wakimbizi wa ndani na nje ya nchi.

  • Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 28, 2018 11:05

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara

    Sep 25, 2018 10:41

    Askari wa jeshi la Nigeria wamewaua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram katika operesheni inayolenga kutokomeza mabaki ya kundi hilo la kigaidi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 20, 2018 22:53

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.

  • Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Sep 16, 2018 21:52

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni iliyofanywa jana Jumapili na wanajeshi wa Nigeria katika jimbo la Borno, la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 15, 2018 03:12

    Watu wasiopungua wanane wanaripotiwa kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuvishambulia vijiji viwili.

  • Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Sep 08, 2018 02:35

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuachiliwa huru raia 21 kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram

    Sep 07, 2018 09:51

    Magaidi 14 wa kundi la Boko Haram wameuawa kwenye operesheni iliyofanywa na jeshi la Nigeria jana katika kijiji cha Pulka, wilaya ya Gwoza, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS