-
Watoto 33 wafariki katika kambi za wakimbizi wa ndani nchini Nigeria
Aug 18, 2018 07:34Watoto wasiopungua 33 wamepoteza maisha katika kipindi cha wiki mbili kati ya tarehe 2 na 15 Agosti katika kambi moja ya wakimbizi wa ndani ya nchi (IDP) kaskazini mwa Nigeria.
-
Magaidi wa Boko Haram wahujumu msikiti na kuua watu wanane Nigeria
Jul 24, 2018 03:25Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria.
-
Boko Haram yaua watu 18 na kuteka nyara 10 Chad
Jul 22, 2018 13:53Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeshambulia kijiji kimoja kilichoko karibu na mpaka wa Chad na Niger, ambapo watu 18 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
-
Jeshi la Nigeria latangaza kuua magaidi 22 wa Boko Haram
Jul 16, 2018 14:21Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeua magaidi 22 wa kundi la Boko Haram katika mapigano makali kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Askari 23 wa Nigeria watoweka baada ya shambulizi la Boko Haram
Jul 15, 2018 07:34Wanajeshi wasiopungua 23 wa Nigeria hawajulikani walipo baada ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kushambulia msafara wa magari ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Boko Haram yaendeleza ukatili, yaua askari wengine 10 Niger
Jul 02, 2018 07:38Askari kumi wa Niger wameuawa katika hujuma mpya ya Boko Haram kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
-
Magaidi wa Boko Haram waua watu 8 katika hujuma mpakani mwa Nigeria na Cameroon
Jul 02, 2018 02:38Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kambi ya wakimbizi wa ndani ya nchi, IDP, katika hujuma waliyotekeleza katika eneo la mpaka wa Nigeria na Cameroon ambapo watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
-
Waislamu 31 waliokuwa wanasherehekea Idi wauliwa na Boko Haram nchini Nigeria
Jun 17, 2018 15:15Watu wasiopungua 31 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika miripuko ya mabomu iliyotokea usiku wa kuamkia leo kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 148 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram
Jun 05, 2018 07:07Jeshi la Nigeria limetangaza kuwakomboa watu 148, wakiwemo wanawake 58 na watoto 75, ambao walikuwa wametekwa nyara na kundi la magaidi wakufurishaji la Boko Haram.
-
UN: Itachukua miaka kadhaa kuliangamiza kikamilifu kundi la Boko Haram
May 10, 2018 02:26Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la magharibi mwa Afrika ametangaza kuwa, licha ya kuweko mafanikio katika kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram, lakini itachukua miaka kadhaa ili kuliangamiza kikamilifu kundi hilo.