Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria

    Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria

    Oct 10, 2017 04:42

    Wizara ya Sheria ya Nigeria imetangaza habari ya kuanza kusikilizwa kesi ya wanachama zaidi ya elfu mbili wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mahakama mbalimbali za nchi hiyo.

  • Indhari ya serikali ya Niger kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Indhari ya serikali ya Niger kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Oct 01, 2017 10:55

    Kutokana na kuendelea mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika eneo la magharibi mwa Afrika viongozi wa serikali ya Niger wametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana kibiashara au kwa namna yoyote ile na kundi hilo.

  • Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram

    Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram

    Oct 01, 2017 00:26

    Viongozi wa Niger wamewaonya vikali wafanyabiashara ambao wanafanya biashara kwa siri na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • UNICEF: Zaidi ya nusu ya skuli katika eneo la ngome kuu ya Boko Haram Nigeria zimefungwa

    UNICEF: Zaidi ya nusu ya skuli katika eneo la ngome kuu ya Boko Haram Nigeria zimefungwa

    Sep 29, 2017 04:07

    Huku hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria yakiingia katika mwaka wake wa tisa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetangaza kuwa zaidi ya nusu ya skuli za jimbo la Borno ambalo ni kitovu cha hujuma na mashambulio ya kundi hilo zimefungwa.

  • Watu watatu wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria

    Watu watatu wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria

    Sep 28, 2017 12:03

    Maafisa wa Nigeria wameripoti kuwa watu watatu wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Boko Haram 1600 kufikishwa mahakamani Oktoba, Nigeria

    Boko Haram 1600 kufikishwa mahakamani Oktoba, Nigeria

    Sep 25, 2017 03:51

    Wizara ya Sheria ya Nigeria imetangaza kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wanaoshikiliwa katika korokoro za nchi hiyo watafikishwa mahakamani Oktoba mwaka huu.

  • Boko Haram yaua watu 9 katika kambi ya wakimbizi Borno, Nigeria

    Boko Haram yaua watu 9 katika kambi ya wakimbizi Borno, Nigeria

    Sep 23, 2017 11:47

    Wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamewaua watu tisa waliokuwa wakiishi katika kambi ya wakimbizi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Binti wa miaka 13 aua watu 5 katika shambulio dhidi ya msikiti Cameroon

    Binti wa miaka 13 aua watu 5 katika shambulio dhidi ya msikiti Cameroon

    Sep 14, 2017 10:09

    Mshambuliaji aliyekuwa amejifunga bomu amejiripua na kuua watu wasiopungua watano katika msikiti mmoja ulioko kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa nchi hiyo na Nigeria.

  • Shambulio la Boko Haram laua watu wanane kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la Boko Haram laua watu wanane kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 08, 2017 22:52

    Watu wasiopungua wanane wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Utawala mbovu, chanzo cha vijana kuwa na misimamo mikali Afrika

    Utawala mbovu, chanzo cha vijana kuwa na misimamo mikali Afrika

    Sep 08, 2017 02:22

    Vijana wa Afrika wanajiunga na makundi yenye misimamo mikali kutokana na sababu kadhaa ikiwemo kupuuzwa, kunyimwa fursa pamoja na ukosefu wa utawala bora.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS