Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Boko Haram waua watu wasiopungua 11 na kuteka nyara wanane kaskazini mwa Cameroon

    Boko Haram waua watu wasiopungua 11 na kuteka nyara wanane kaskazini mwa Cameroon

    Aug 26, 2017 03:55

    Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameua watu wasiopungua 11 na kuwateka nyara wengine wanane katika shambulio walilofanya dhidi ya kijiji kimoja kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa Nigeria.

  • Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger

    Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger

    Aug 25, 2017 04:21

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, tangu yalipoanza mashambulizi ya kwanza ya genge la kigaidi la Boko Haram nchini Niger mwezi Februari 2015, karibu watu 540 imma wameuawa au kujeruhiwa au kutekwa nyara na kundi hilo la wakufurishaji.

  • Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa

    Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa

    Aug 24, 2017 13:46

    Jeshi la Niger limeshambulia moja ya maficho ya kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo katika fremu ya oparesheni ya kuwaangamiza magaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 23, 2017 07:47

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    Aug 23, 2017 03:47

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuhudumia watoto UNICEF umetangaza kuwa idadi ya watoto wanaotumiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga imeongezeka mara nne mwaka huu kulinganisha na mwaka uliopita wa 2016.

  • Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 16, 2017 04:27

    Watu 27 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria na wengine 83 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria

    Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria

    Aug 08, 2017 07:49

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeua makumi ya wavuvi baada ya kuvamia visiwa viwili vya eneo la Ziwa Chad, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Jul 28, 2017 04:05

    Zaidi ya watu 40 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • UN yaitaka serikali ya Nigeria kuwakomboa wasichana wa Chibok

    UN yaitaka serikali ya Nigeria kuwakomboa wasichana wa Chibok

    Jul 25, 2017 02:59

    Kamati ya Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa imeitaka serikali ya Nigeria kuzidisha juhudi za kuwakomboa wanawake na wasichana wote waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram na kuhakikisha wanarudi shuleni bila ya kukabiliwa na unyanyapaa.

  • Boko Haram wafanya shambulizi jingine kusini mashariki mwa Niger

    Boko Haram wafanya shambulizi jingine kusini mashariki mwa Niger

    Jul 04, 2017 03:45

    Watu 9 wameuawa katika shambulio jipya lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram, kusini mashariki mwa Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS