Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Boko Haram yaua raia 18 katika mpaka wa Nigeria na Cameroon

    Boko Haram yaua raia 18 katika mpaka wa Nigeria na Cameroon

    Sep 01, 2017 22:33

    Wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameua watu 18 katika shambulizi lililofanywa kwenye eneo la karibu na mpaka wa Nigeria na Cameroon.

  • Boko Haram waendelea kuwateka nyara raia kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram waendelea kuwateka nyara raia kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 30, 2017 03:06

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kuhatarisha maisha ya raia kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kuwateka nyara watu kadhaa wa familia moja.

  • Boko Haram waua watu wasiopungua 11 na kuteka nyara wanane kaskazini mwa Cameroon

    Boko Haram waua watu wasiopungua 11 na kuteka nyara wanane kaskazini mwa Cameroon

    Aug 25, 2017 23:25

    Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameua watu wasiopungua 11 na kuwateka nyara wengine wanane katika shambulio walilofanya dhidi ya kijiji kimoja kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa Nigeria.

  • Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger

    Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger

    Aug 24, 2017 23:51

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, tangu yalipoanza mashambulizi ya kwanza ya genge la kigaidi la Boko Haram nchini Niger mwezi Februari 2015, karibu watu 540 imma wameuawa au kujeruhiwa au kutekwa nyara na kundi hilo la wakufurishaji.

  • Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa

    Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa

    Aug 24, 2017 09:16

    Jeshi la Niger limeshambulia moja ya maficho ya kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo katika fremu ya oparesheni ya kuwaangamiza magaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 23, 2017 03:17

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne

    Aug 22, 2017 23:17

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuhudumia watoto UNICEF umetangaza kuwa idadi ya watoto wanaotumiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga imeongezeka mara nne mwaka huu kulinganisha na mwaka uliopita wa 2016.

  • Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 15, 2017 23:57

    Watu 27 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria na wengine 83 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria

    Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria

    Aug 08, 2017 03:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeua makumi ya wavuvi baada ya kuvamia visiwa viwili vya eneo la Ziwa Chad, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Jul 27, 2017 23:35

    Zaidi ya watu 40 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS