-
Boko Haram yaua raia 18 katika mpaka wa Nigeria na Cameroon
Sep 01, 2017 22:33Wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameua watu 18 katika shambulizi lililofanywa kwenye eneo la karibu na mpaka wa Nigeria na Cameroon.
-
Boko Haram waendelea kuwateka nyara raia kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 30, 2017 03:06Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kuhatarisha maisha ya raia kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kuwateka nyara watu kadhaa wa familia moja.
-
Boko Haram waua watu wasiopungua 11 na kuteka nyara wanane kaskazini mwa Cameroon
Aug 25, 2017 23:25Wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameua watu wasiopungua 11 na kuwateka nyara wengine wanane katika shambulio walilofanya dhidi ya kijiji kimoja kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa Nigeria.
-
Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger
Aug 24, 2017 23:51Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, tangu yalipoanza mashambulizi ya kwanza ya genge la kigaidi la Boko Haram nchini Niger mwezi Februari 2015, karibu watu 540 imma wameuawa au kujeruhiwa au kutekwa nyara na kundi hilo la wakufurishaji.
-
Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa
Aug 24, 2017 09:16Jeshi la Niger limeshambulia moja ya maficho ya kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo katika fremu ya oparesheni ya kuwaangamiza magaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Shambulio la kigaidi la Boko Haram laua raia wasiopungua sita kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 23, 2017 03:17Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
UNICEF: Mashambulio ya Boko Haram kwa kutumia watoto wanaojiripua yameongezeka mara nne
Aug 22, 2017 23:17Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuhudumia watoto UNICEF umetangaza kuwa idadi ya watoto wanaotumiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga imeongezeka mara nne mwaka huu kulinganisha na mwaka uliopita wa 2016.
-
Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 15, 2017 23:57Watu 27 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria na wengine 83 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria
Aug 08, 2017 03:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeua makumi ya wavuvi baada ya kuvamia visiwa viwili vya eneo la Ziwa Chad, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria
Jul 27, 2017 23:35Zaidi ya watu 40 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.