Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Shirika la Msalaba Mwekundu latahadharisha kuhusu hali ya Nigeria

    Shirika la Msalaba Mwekundu latahadharisha kuhusu hali ya Nigeria

    Jun 22, 2017 08:03

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, hali ya kibinadamu nchini Nigeria inatia wasiwasi licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya nchi hiyo.

  • Jeshi la Mali lashambuliwa, askari watano wauawa

    Jeshi la Mali lashambuliwa, askari watano wauawa

    Jun 18, 2017 03:52

    Wanajeshi watano wa Mali wameuawa na wengine wanane kujeruhiwa katika shambulio lilofanywa na watu wenye silaha jana Jumamosi katika kambi moja ya jeshi la Mali kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Kundi la Boko Haram latangaza kuhusika na shambulio la Maiduguri

    Kundi la Boko Haram latangaza kuhusika na shambulio la Maiduguri

    Jun 11, 2017 13:56

    Kundi la kigadi la Boko Haram limetangaza kuwa, wanachama wake ndio waliohusika na shambulio la kigaidi la hivi karibuni katika mji wa Maiduguri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Boko Haram washambulia Waislamu wakila futari Nigeria

    Boko Haram washambulia Waislamu wakila futari Nigeria

    Jun 08, 2017 07:56

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameshambulia vijiji vilivyoko kando kando ya mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria wakati ambapo Waislamu wa mji huo walikuwa majumbani kwao wakila futari.

  • Jeshi la Nigeria laua wanachama 13 wa Boko Haram eneo la Ziwa Chad

    Jeshi la Nigeria laua wanachama 13 wa Boko Haram eneo la Ziwa Chad

    May 21, 2017 13:39

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeendelea kupata pigo kutoka kwa askari wa jeshi la Nigeria, ambapo wanachama 13 wa genge hilo wameuawa kwenye makabaliano mapya yaliyotokea jana katika eneo la Ziwa Chad.

  • Nigeria: Hadi sasa jeshi letu limefanikiwa kuwaokoa mateka 4000 kutoka mikononi mwa Boko Haram

    Nigeria: Hadi sasa jeshi letu limefanikiwa kuwaokoa mateka 4000 kutoka mikononi mwa Boko Haram

    May 19, 2017 16:22

    Jeshi la serikali ya Nigeria limetangaza kuwa hadi sasa limefanikiwa kuwaokoa watu 4000 kutoka mikononi mwa wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram.

  • Watu sita wauawa katika shambulio la Boko Haram katika mji wa Maiduguri

    Watu sita wauawa katika shambulio la Boko Haram katika mji wa Maiduguri

    May 16, 2017 03:53

    Watu wasiopungua 6 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wasichana 82 waachiliwa huru na Boko Haram Nigeria kwa kubadilishana na wafungwa wa kundi hilo

    Wasichana 82 waachiliwa huru na Boko Haram Nigeria kwa kubadilishana na wafungwa wa kundi hilo

    May 07, 2017 03:11

    Ofisi ya Rais wa Nigeria imetangaza kuwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limewaachia huru wanafunzi wa kike 82 miongoni mwa wasichana zaidi ya 200 waliokuwa wamewateka nyara katika mji wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo wa Chibok mwaka 2014, mkabala wa kuachiwa huru wafungwa wa kundi hilo.

  • António Guterres aitaka Boko Haram ikomeshe ukiukaji wa haki za watoto

    António Guterres aitaka Boko Haram ikomeshe ukiukaji wa haki za watoto

    May 05, 2017 13:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelitaka kundi la kigaidi la Boko Haram la nchini Nigeria kuhitimisha ukiukaji wake wa haki za watoto.

  • Wanajeshi wa Nigeria washambulia maficho ya magaidi wa Boko Haram

    Wanajeshi wa Nigeria washambulia maficho ya magaidi wa Boko Haram

    May 03, 2017 14:39

    Ndege za kivita za Nigeria zimefanya mashambulizi katika maficho ya wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na kuua magaidi kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS