-
Niger wafanya maandamano kulaani jinai za Boko Haram
Jun 05, 2016 09:54Wananchi wa mji mkuu wa Niger, wamefanya maandamano makubwa ya kutangaza uungaji mkono wao kwa wahanga wa mashambulizi ya hivi karibuni ya genge la kigaidi la Boko Haram.
-
Boko Haram yadhibiti mji wa mpaka na Niger
Jun 04, 2016 03:43Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeteka na kudhibiti mji wa Bosso, ulioko kusini mashariki mwa mpaka wa Niger.
-
Jeshi la Niger laangamiza wanachama 12 wa Boko Haram
May 29, 2016 09:47Jeshi la Niger limetangaza kuwa limeangamiza wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika kijiji cha Bosso, kusini mashariki mwa eneo la Diffa karibu na mpaka na Nigeria.
-
Kukombolewa na jeshi la Nigeria wasichana mia moja wa shule waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram
May 21, 2016 02:12Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa mabinti 100 wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Binti wa kwanza wa Chibok, aokolewa toka mikononi mwa Boko Haram
May 19, 2016 02:44Mmoja wa mabinti wa shule ya wasichana ya Chibok waliotekwa nyara na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria yapata miaka miwili iliyopita ameokolewa kutoka kwenye makucha ya magaidi hao.
-
Serikali ya Nigeria yawaonya wafanya mgomo
May 18, 2016 11:10Serikali ya Nigeria imetoa onyo kali kwa vyama vya wafanyakazi na vya ushirika vilivyosema kuwa vitaendelea na mgomo wa nchi nzima kwa ajili ya kupigania haki zao.
-
Nigeria kutumia vinasaba vya DNA kugundua magaidi
May 16, 2016 23:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo ina mpango wa kutumia vinasaba yaani DNA kuwakamata magaidi.
-
Jeshi la Nigeria: Kundi la Boko Haram limepata pigo kubwa
May 16, 2016 11:36Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limepata mafanikio makubwa katika operesheni yake ya pamoja na jeshi la Cameroon dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Makumi ya watoto nchini Cameroon waokolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram
May 14, 2016 23:43Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa, imewakomboa makumi ya wanawake na watoto waliokuwa wakishikiliwa na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Kikao cha kieneo nchini Nigeria kuhusiana na vita dhidi ya kundi la Boko Haram
May 14, 2016 23:22Kikao cha viongozi wa eneo la magharibi mwa Afrika kuhusiana na vita dhidi ya kundi la Boko Haram kilianza Jumamosi ya jana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.