-
Jeshi la Niger laangamiza wanachama 12 wa Boko Haram
May 29, 2016 14:17Jeshi la Niger limetangaza kuwa limeangamiza wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika kijiji cha Bosso, kusini mashariki mwa eneo la Diffa karibu na mpaka na Nigeria.
-
Kukombolewa na jeshi la Nigeria wasichana mia moja wa shule waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram
May 21, 2016 06:42Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa mabinti 100 wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Binti wa kwanza wa Chibok, aokolewa toka mikononi mwa Boko Haram
May 19, 2016 07:14Mmoja wa mabinti wa shule ya wasichana ya Chibok waliotekwa nyara na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria yapata miaka miwili iliyopita ameokolewa kutoka kwenye makucha ya magaidi hao.
-
Serikali ya Nigeria yawaonya wafanya mgomo
May 18, 2016 15:40Serikali ya Nigeria imetoa onyo kali kwa vyama vya wafanyakazi na vya ushirika vilivyosema kuwa vitaendelea na mgomo wa nchi nzima kwa ajili ya kupigania haki zao.
-
Nigeria kutumia vinasaba vya DNA kugundua magaidi
May 17, 2016 04:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo ina mpango wa kutumia vinasaba yaani DNA kuwakamata magaidi.
-
Jeshi la Nigeria: Kundi la Boko Haram limepata pigo kubwa
May 16, 2016 16:06Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limepata mafanikio makubwa katika operesheni yake ya pamoja na jeshi la Cameroon dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Makumi ya watoto nchini Cameroon waokolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram
May 15, 2016 04:13Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa, imewakomboa makumi ya wanawake na watoto waliokuwa wakishikiliwa na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Kikao cha kieneo nchini Nigeria kuhusiana na vita dhidi ya kundi la Boko Haram
May 15, 2016 03:52Kikao cha viongozi wa eneo la magharibi mwa Afrika kuhusiana na vita dhidi ya kundi la Boko Haram kilianza Jumamosi ya jana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
-
Amnesty: Watoto wanaoshukiwa kuwa Boko Haram wanakufia kizuizini Nigeria
May 11, 2016 06:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema makumi ya watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Boko Haram wakiwemo watoto wadogo wameaga dunia wakiwa kizuizini katika korokoro ya kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka huu pekee.
-
Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kabambe dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa
May 02, 2016 07:54Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kubwa dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa.