-
Watu 23 wauawa kwa mashambulio ya kundi la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria
Jul 28, 2019 11:59Watu wasiopungua 23 wameuawa kaskazini mwa Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kufanya mashambulio katika maeneo hayo.
-
Umoja wa Mataifa: Kuna watoto 8,000 wanatumiwa na Boko Haram kama askari vitani
Jul 10, 2019 02:36Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa nchini Nigeria ametangaza kuwa, kwa uchache watoto 8,000 wanatumiwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kama askari vitani.
-
Askari 11 wa Chad wauawa katika shambulizi la Boko Haram Ziwa Chad
Jun 24, 2019 12:42Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeua askari 11 wa Chad, katika eneo la Ziwa Chad.
-
Magaidi waua wanajeshi 15 kaskazini mwa Nigeria
Jun 19, 2019 07:34Wanajeshi 15 wa Nigeria wameuawa katika shambulizi linaloaminika kutekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Watu 30 wauawa katika hujuma za kigaidi wakitizama mpira Nigeria
Jun 17, 2019 12:36Watu wasipungua 30 wameuawa katika mashambulizi kaskazini mwa Nigeria katika hujuma inayoaminika kutekelezwa na magaidi wakufurishaji wa Boko Haram.
-
Magaidi wa Daesh wadai kuua makumi ya askari nchini Nigeria
Jun 15, 2019 03:53Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Magharibi mwa Afrika (ISWA) limedai kwamba limeua makumi ya askari wa Nigeria huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Magaidi wa Boko Haram wauwa watu 26 kaskazini mwa Cameroon
Jun 12, 2019 07:40Wanajeshi wasiopungua 17 na raia tisa wameuawa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko Darak kaskazini mwa Cameroon.
-
Watu 22 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Chad
May 22, 2019 03:34Watu wasiopungua 22 wameuawa na wengine 28 kujeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila mashariki mwa Chad.
-
Maelfu ya watu wakimbia makazi yao Nigeria kuogopa mashambulizi ya Boko Haram
May 15, 2019 07:48Maelfu ya wanavijiji wamekimbia makazi yao kaskazini mashariki mwa Nigeria wakikwepa mashambulizi ya kigaidi ya Boko Haram katika mji wa Maiduguri, makao makuu ya jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wanajeshi 11 wa Nigeria wauawa na kundi la kigaidi la Boko Haram
May 12, 2019 12:59Wanajeshi wasiopungua 11 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram.