Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • UNICEF: Wapiganaji watiifu kwa serikali ya Nigeria wawaachia huru watoto 900

    UNICEF: Wapiganaji watiifu kwa serikali ya Nigeria wawaachia huru watoto 900

    May 11, 2019 07:44

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa, kundi la wapiganaji wenye mfungamano na vikosi vya serikali ya Nigeria limewaachia huru mamia ya watoto waliokuwa wakitumiwa na kundi hilo katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.

  • Wanajeshi 30 wa Nigeria watoweka kufuatia shambulizi la Boko Haram

    Wanajeshi 30 wa Nigeria watoweka kufuatia shambulizi la Boko Haram

    Apr 30, 2019 06:48

    Wanajeshi watano wa Nigeria wameuawa na wengine 30 kutoweka kufuatia shambulizi lililofanywa na magaidi wa Boko Haram katika kambi ya wanajeshi hao.

  • Watu 11 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mwa Cameroon

    Watu 11 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mwa Cameroon

    Apr 20, 2019 04:22

    Watu wasiopungua 11 wameuawa kaskazini mwa Cameroon kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • UNICEF: Watoto zaidi ya 3,500 wametumika vitani Nigeria tangu 2013

    UNICEF: Watoto zaidi ya 3,500 wametumika vitani Nigeria tangu 2013

    Apr 13, 2019 01:15

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limesema zaidi ya watoto 3,500 wengi wakiwa na umri wa kati ya miaka 13 hadi 17 waliingizwa na kutumiwa katika vita vinavyoendelea Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na makundi yenye silaha yasiyo ya kiserikali

  • Watu 10 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Watu 10 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Mar 27, 2019 16:05

    Watu 10 wameuawa katika shambulizi la bomu la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mashariki mwa Niger.

  • Magaidi 33 wa Boko Haram waangamizwa mashariki mwa Niger

    Magaidi 33 wa Boko Haram waangamizwa mashariki mwa Niger

    Mar 13, 2019 13:10

    Jeshi la Niger limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 33 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni kabambe ya jeshi hilo kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 50 wa kundi la Boko Haram waangamizwa na majeshi ya nchi nne

    Magaidi 50 wa kundi la Boko Haram waangamizwa na majeshi ya nchi nne

    Mar 11, 2019 07:57

    Jeshi la Nigeria limetangaza kwamba magaidi 50 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni za kikosi cha pamoja cha Nigeria, Chad, Cameroon na Niger.

  • Jeshi la Niger laua magaidi 38 wa Boko Haram katika mapigano makali

    Jeshi la Niger laua magaidi 38 wa Boko Haram katika mapigano makali

    Mar 10, 2019 07:24

    Wizara ya Ulinzi wa Niger imetangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo limewaangamiza magaidi 38 wa kundi la Boko Haram katika mapigano makali yaliyojiri kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria

    Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria

    Feb 21, 2019 02:55

    Raia wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Askari 7 wa Niger wauawa katika mapigano na Boko Haram

    Askari 7 wa Niger wauawa katika mapigano na Boko Haram

    Feb 17, 2019 08:09

    Wanajeshi saba wa Niger wameuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi karibu na mpaka wa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS