Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • SAUTi, Raia wa Burundi waitaka serikali kudhamini mifuko ya makaratasi kabla ya kuzuia ile ya plastiki

    SAUTi, Raia wa Burundi waitaka serikali kudhamini mifuko ya makaratasi kabla ya kuzuia ile ya plastiki

    Aug 30, 2018 12:29

    Baada ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kusaini sheria inayopiga marufuku matumizi na biashara ya mifuko ya plastik nchini humo, wananchi wamekuwa wakihimizwa kuachana na matumizi ya mifuko ya aina hiyo ambayo inaharibu mazingira kwa kiasi kikubwa.

  • Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Aug 23, 2018 12:24

    Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa

  • Rwanda na Burundi zashirikiana katika kuzuia ugonjwa hatari wa Ebola

    Rwanda na Burundi zashirikiana katika kuzuia ugonjwa hatari wa Ebola

    Aug 08, 2018 00:13

    Serikali za Rwanda na Burundi zimeweka mikakati kabambe ya pamoja kwa ajili ya kupambana na maradhi hatari ya Ebola ambayo yameripotiwa katika eneo la Maziwa Makuu.

  • SAUTI, Burundi yakosoa kitendo cha Rwanda cha kuwatimua wakimbizi wa Kirundi bila kuwapa mali zao

    SAUTI, Burundi yakosoa kitendo cha Rwanda cha kuwatimua wakimbizi wa Kirundi bila kuwapa mali zao

    Jun 28, 2018 11:14

    Serikali ya Burundi imekosoa kitendo cha serikali ya nchi jirani ya Rwanda cha kuwafukuza zaidi ya wakimbizi 550 bila sababu.

  • Afisa wa serikali na Wafaransa 4 watiwa nguvuni kwa ufisadi Burundi

    Afisa wa serikali na Wafaransa 4 watiwa nguvuni kwa ufisadi Burundi

    Jun 24, 2018 08:20

    Serikali ya Burundi imemtia nguvuni afisa mmoja wa ngazi ya juu wa nchi hiyo na raia wanne wa Ufaransa kwa tuhuma za kufanya utapeli.

  • Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Jun 07, 2018 11:00

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza kuwa hatagombea urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020, licha ya katiba mpya aliyoiidhinisha hii leo kumpa kibali cha kusalia madarakani hadi mwaka 2034.

  • Franc bilioni 17 zimeshakusanywa Burundi kwa ajili ya uchaguzi + Sauti

    Franc bilioni 17 zimeshakusanywa Burundi kwa ajili ya uchaguzi + Sauti

    Jun 05, 2018 12:15

    Serikali ya Burundi imetangaza kiwango cha Franc bilioni 17 za nchi hiyo sawa na dola milioni 17 za Kimarekani kuwa ndizo tayari zimekusanywa katika michongo inayotolewa ndani ya nchi hiyo kugharamia uchaguzi mkuu wa 2020. Hamida Issa na maelezo zaidi...

  • AU yatakiwa kuongoza mazungumzo ya amani ya Burundi

    AU yatakiwa kuongoza mazungumzo ya amani ya Burundi

    Jun 02, 2018 03:37

    Mabalozi wa nchi za Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika katika Umoja wa Ulaya wameutaka Umoja wa Afrika uingie usukani katika mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaozidi kutokota nchini Burundi.

  • Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi

    Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi

    May 31, 2018 10:28

    Mahakama ya Katiba ya Burundi imetupilia mbali kesi iliyowasilisha na muungano wa upinzani nchini humo kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.

  • Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni

    Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni

    May 25, 2018 03:04

    Muungano wa upinzani nchini Burundi unaoongozwa na Agathon Rwasa jana Alkhamisi ulienda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS