Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Jumapili, Mosi Oktoba, 2023

    Jumapili, Mosi Oktoba, 2023

    Oct 01, 2023 02:36

    Leo ni Jumapili tarehe 15 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba 2023 Miladia.

  • Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi

    Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi

    Sep 26, 2023 07:30

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ameandika katika makala iliyochapishwa kwenye blogu yake akisema: "Sheria zinazotawala dunia zinachakaa na nchi zinazoendelea za kusini mwa dunia zinatafuta mbadala wa Magharibi."

  • Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

    Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

    Sep 23, 2023 11:32

    Rais Bashar al Assad wa Syria Alhamisi ya juzi tarehe 21 Septemba aliwasili katika mji wa Hangzhou mashariki wa China kwa lengo la kushiriki katika hafla ya ufunguzi wa michezo ya Asia ya Hangzhou na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Xi Jin Ping wa nchi hiyo.

  • China: Haiwezekani Taiwan kupewa uanachama wa UN

    China: Haiwezekani Taiwan kupewa uanachama wa UN

    Sep 16, 2023 04:43

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesema jitihada za maajinabi zinazoendelea za eti kutafuta uhuru wa Taiwan zitafeli.

  • Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia

    Safari ya rais wa Venezuela nchini China kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa dunia

    Sep 10, 2023 04:40

    Sambamba na kupanuka uhusiano wa Venezuela na China, Rais Nicolás Maduro wa Venezuela amewasili China kwa lengo la kuongeza uhusiano wa pande mbili, kuimarisha ushirikiano na kusaidia kuanzisha mfumo mpya wa dunia.

  • Rais Xi wa China 'kutoshiriki' mkutano ujao wa kundi la G20

    Rais Xi wa China 'kutoshiriki' mkutano ujao wa kundi la G20

    Sep 05, 2023 10:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Li Qiang ataongoza ujumbe wa taifa hilo katika mkutano ujao wa kundi la G20 nchini India, hatua inayoashiria kuwa Rais Xi Jinping hatoshiriki kongamano hilo.

  • China: Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani

    China: Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani

    Aug 30, 2023 13:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitiza kuwa Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani. Wang Yi ametoa sisitizo hilo katika kikao na Adel al-Asoumi, Spika wa Bunge la Waarabu mjini Beijing, na kubainisha kwamba Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) haijawahi katu kuwa eneo la faragha na kujifaragua kwa dola kubwa lolote lile; na mustakabali na hatima ya eneo lazima iamuliwe na nchi na watu wa eneo hilo.

  • Kuendelea Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Kuendelea Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Aug 17, 2023 13:07

    Serkali ya China imepinga ombi la Marekani na baadhi ya waitifaki wake la kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Korea Kaskazini.

  • China yaapa kuchukua 'hatua za utumiaji nguvu' sambamba na makamu wa rais wa Taiwan kuwasili Marekani

    China yaapa kuchukua 'hatua za utumiaji nguvu' sambamba na makamu wa rais wa Taiwan kuwasili Marekani

    Aug 13, 2023 14:01

    China imeahidi kuchukua "hatua madhubuti na za nguvu" kulinda mamlaka yake baada ya Makamu wa Rais wa Taiwan William Lai kuwasili Marekani kwa ziara fupi.

  • China yathibitisha kumtia mbaroni jasusi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA

    China yathibitisha kumtia mbaroni jasusi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA

    Aug 12, 2023 03:57

    Serikali ya China imethibitisha kupitia taarifa kwamba imemgundua na kumkamata jasusi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS