Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • WHO yautoa hofu ulimwengu kuhusu virusi vya HMPV

    WHO yautoa hofu ulimwengu kuhusu virusi vya HMPV

    Jan 09, 2025 03:20

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ongezeko lililoripotiwa la wagonjwa walioathirika katika mfumo wao wa kupumua linalosababishwa na virusi vya Human Metapneumovirus (hMPV) huko China linaendana na mwelekeo wa msimu wa magonjwa ya kawaida ya kupumua, pamoja na mafua ambayo kwa kawaida hufikia kileleni wakati wa miezi ya baridi.

  • China yakanusha kukabiliana na ugonjwa unaoshabihiana na Uviko-19

    China yakanusha kukabiliana na ugonjwa unaoshabihiana na Uviko-19

    Jan 05, 2025 07:43

    China imekadhibisha madai kwamba inakabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kupumua usiofahamika unaofanana na Uviko-19.

  • Trump atoa vitisho vikali dhidi ya BRICS kwa hofu ya kuanzishwa sarafu itayoshindana na US $

    Trump atoa vitisho vikali dhidi ya BRICS kwa hofu ya kuanzishwa sarafu itayoshindana na US $

    Dec 01, 2024 06:09

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametoa vitisho vikali kwa mataifa wanachama wa jumuiya ya BRICS akisema yatakabiliwa na ushuru wa 100% kwa bidhaa zao ikiwa yatajaribu kuanzisha sarafu ya akiba ili kushindana na sarafu ya dola ya Marekani.

  • Sisitizo la Trump la kuanza duru mpya ya vita vya ushuru katika kipindi cha pili cha urais

    Sisitizo la Trump la kuanza duru mpya ya vita vya ushuru katika kipindi cha pili cha urais

    Nov 28, 2024 02:51

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa katika siku yake ya kwanza akiwa Ikulu ya White House, atatoa agizo la kutozwa ushuru mpya bidhaa zote zinazoagizwa kutoka Mexico, Canada na China.

  • Kikao cha pili cha kamati ya pande tatu za Iran, Saudi Arabia na China chafanyika Riyadh

    Kikao cha pili cha kamati ya pande tatu za Iran, Saudi Arabia na China chafanyika Riyadh

    Nov 20, 2024 11:56

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Saudi Arabia na China zimefanya kikao cha pili cha pande tatu huko Riyadh, Saudi Arabia kwa shabaha ya kufuatilia makubaliano yaliyofikiwa huko Beijing na kuimarisha kiwango cha ushirikiano.

  • China yaibainishia Marekani mistari yake minne myekundu ambayo haipasi kuvukwa

    China yaibainishia Marekani mistari yake minne myekundu ambayo haipasi kuvukwa

    Nov 18, 2024 02:36

    Rais Xi Jinping wa China ameweka wazi mistari myekundu minne ambayo amesema haipasi kuvukwa na Marekani ili kuwepo uhusiano wenye usawa na sahihi kati ya nchi hizo mbili.

  • Waziri Mkuu wa Malaysia alaani vikali mauaji ya Sinwar, asema nchi yake inaomboleza

    Waziri Mkuu wa Malaysia alaani vikali mauaji ya Sinwar, asema nchi yake inaomboleza

    Oct 20, 2024 02:46

    Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim amelaani vikali mauaji ya kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar yaliyofanywa na vikosi vya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Katika Siku ya Afya ya Akili Duniani, Katibu Mkuu wa UN asema: Hakuna afya bora bila afya ya akili

    Katika Siku ya Afya ya Akili Duniani, Katibu Mkuu wa UN asema: Hakuna afya bora bila afya ya akili

    Oct 11, 2024 07:31

    Siku ya Afya ya Akili Duniani imeadhimishwa Oktoba 10 huku ikiripotiwa kuwa, mtu mmoja kati ya wanane duniani ana tatizo la afya ya akili.

  • China na Russia zakosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    China na Russia zakosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 10, 2024 07:13

    Wawakilishi wa Kudumu wa China na Russia katika Umoja wa Mataifa wameikosoa vikali Israel kwa kushindwa kutafuta amani na kuzuia juhudi za kukomesha mauaji ya watu wa Palestina.

  • Alkhamisi, Oktoba 10, 2024

    Alkhamisi, Oktoba 10, 2024

    Oct 10, 2024 03:33

    Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na tarehe 10 Oktoba mwaka 2024.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS