Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Jumanne tarehe Mosi Oktoba 2024

    Jumanne tarehe Mosi Oktoba 2024

    Oct 01, 2024 06:47

    Leo ni Jumanne tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1446 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba 2024.

  • China yakosoa na kulaani jinai za Israel nchini Lebanon

    China yakosoa na kulaani jinai za Israel nchini Lebanon

    Sep 22, 2024 02:58

    Mwakilishi wa China katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mashambulizi ya kikatili, ya kutisha na yasiyo na mfano ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon ni ukiukaji mkubwa wa mamlaka ya nchi huru, sheria za kimataifa na za kibinadamu.

  • China: Marekani ndio tishio kubwa zaidi la nyuklia duniani

    China: Marekani ndio tishio kubwa zaidi la nyuklia duniani

    Aug 17, 2024 10:27

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya China amesema, Marekani ndiyo hatari kubwa zaidi kwa dunia endapo yatatokea mapigano ya nyuklia.

  • Kukosoa Russia upinzani wa Magharibi kwa muundo mpya wa ulimwengu

    Kukosoa Russia upinzani wa Magharibi kwa muundo mpya wa ulimwengu

    Jul 21, 2024 02:30

    Balozi wa Russia nchini Marekani, Anatoly Antonov, amesema nchi za Magharibi zinapinga juhudi za kuundwa muundo mpya wa pande kadhaa ambao utakuwa na insafu na uadilifu zaidi.

  • China: Tuko tayari kushirikiana na serikali ijayo ya Iran

    China: Tuko tayari kushirikiana na serikali ijayo ya Iran

    Jul 16, 2024 07:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema China inathamini uhusiano wake na Iran na iko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Jamhuri ya Kiislamu ili kuendeleza ushirikiano wa kimkakati na wa kina kati ya pande mbili.

  • Sisitizo la kupanuliwa uhusiano wa Iran na China

    Sisitizo la kupanuliwa uhusiano wa Iran na China

    Jul 07, 2024 02:24

    Mohammad Mokhbrr, Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Rais Xi Jinping wa China walikutana na kujadiliana kando ya Mkutano wa 24 wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai huko Astana, mji mkuu wa Kazakhstan.

  • Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia

    Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia

    Jun 05, 2024 07:28

    Iran, China na Russia zimesisitiza kuwa, vifungu vya mkataba wa nyuklia wa JCPOA vingali vina itibari na kuzishauri nchi za Magharibi ambazo zimekwamisha utekelezaji wa mapatano hayo kwa kutochukua hatua na kukhalifu kutekeleza ahadi na majukumu yao, zionyeshe utashi wa kisiasa na kuchukua hatua zinazohitajika ili kuanza kutekeleza tena makubaliano hayo.

  • NATO yaituhumu China kuwa inachochea moto wa vita Ulaya kwa kuiunga mkono Russia

    NATO yaituhumu China kuwa inachochea moto wa vita Ulaya kwa kuiunga mkono Russia

    May 26, 2024 11:15

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la Magharibi NATO Jens Stoltenberg ameituhumu China kwamba inachochea vita barani Ulaya kwa kuiunga mkono Russia dhidi ya Ukraine.

  • Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    May 02, 2024 02:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ametangaza kuwa kufuatia mkutano wa wawakilishi wa harakati za Palestina za Hamas na Fat'h mjini Beijing, pande mbili zimefikia makubaliano ya kujadili maridhiano ya kitaifa huko Palestina.

  • Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu

    Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu

    Apr 16, 2024 10:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaamini kwamba usalama na utulivu wa nchi za eneo hili zima ni muhimu sana kwake, bali ni sawa kabisa na usalama wake yenyewe na haitoruhusu utawala wa Kizayuni kuhatarisha usalama wa eneo hili kwa chokochoko zake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS