Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Watoto wa Kiiraqi; wahanga wakubwa wa ugaidi

    Watoto wa Kiiraqi; wahanga wakubwa wa ugaidi

    Jan 07, 2018 23:01

    Wizara ya Kazi na Masuala ya Jamii ya Iraq imetangaza kupitia taarifa iliyotoa kuwa inachunguza madai kwamba watoto waliokuwa wakilelewa katika kituo kimoja kinachosimamiwa na wizara hiyo katika mkoa wa Nainawa kaskazini mwa Iraq wameuzwa kwa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Kinara wa kundi la ISIS aangamizwa katika mkoa wa Diyala, Iraq

    Kinara wa kundi la ISIS aangamizwa katika mkoa wa Diyala, Iraq

    Jan 05, 2018 11:13

    Mkuu wa kamati ya usalama ya mkoa wa Diyala, nchini Iraq Bw. Sadiq al-Husseini amesema, jeshi la nchi hiyo limemuua kiongozi muhimu wa kundi la ISIS mkoani Diyala, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Helikopta za Marekani zawaokoa viongozi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Helikopta za Marekani zawaokoa viongozi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Dec 30, 2017 00:57

    Katika kuendeleza uungaji misaada ya Marekani kwa makundi ya kigaidi na ukufurishaji la Daesh, helikopta za kivita za nchi hiyo zimeonekana usiku wa kuamkia leo zikiruka kuelekea mji wa Deir ez-Zor nchini Syria na kuwabeba viongozi kadhaa za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) na kuwapeleka mji wa Al-Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Marekani yatuma maelfu ya magaidi wa Daesh barani Ulaya

    Marekani yatuma maelfu ya magaidi wa Daesh barani Ulaya

    Dec 27, 2017 12:21

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa, Marekani na wapinzani nchini Syria wamewatuma katika nchi za Ulaya maelfu ya magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh kutokea Syria.

  • Russia yatoa indhari: Kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Russia yatoa indhari: Kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Dec 24, 2017 13:10

    Mjumbe maalumu wa rais wa Russia nchini Afghanistan ametoa indhari kuwa wanachama zaidi ya elfu kumi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh hivi sasa wako nchini Afghanistan na kwamba idadi yao inazidi kuongezeka kutokana na kubadilisha maskani yake kundi hilo baada ya kusambaratishwa katika nchi za Syria na Iraq.

  • Waziri wa Sheria wa Algeria: Waalgeria 226 wamejiunga na Daesh

    Waziri wa Sheria wa Algeria: Waalgeria 226 wamejiunga na Daesh

    Dec 19, 2017 04:33

    Waziri wa Sheria wa Algeria ametangaza kuwa raia wa nchi hiyo wasiopungua 226 wameelekea katika nchi za Iraq na Syria kwa ajili ya kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Marekani yaunda kundi jipya la waasi Syria

    Marekani yaunda kundi jipya la waasi Syria

    Dec 16, 2017 12:11

    Kituo cha Mapatano cha Russia nchini Syria kimetangaza kuwa, Marekani imeanzisha kundi jipya la waasi lililopewa jina la Jeshi Jipya la Syria katika kambi ya wakimbizi iliyoko mkoani Hasaka huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Viongozi wa nchi za Afrika wana wasiwasi wa kurejea barani humo Madaesh wanaotoka Syria na Iraq

    Viongozi wa nchi za Afrika wana wasiwasi wa kurejea barani humo Madaesh wanaotoka Syria na Iraq

    Dec 14, 2017 12:13

    Viongozi wa nchi za Afrika wamesema wana wasiwasi wa kurejea barani humo maelfu ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) kutoka nchi za Iraq na Syria.

  • Kutangazwa ushindi wa mwisho wa taifa la Iraq dhidi ya ISIS

    Kutangazwa ushindi wa mwisho wa taifa la Iraq dhidi ya ISIS

    Dec 11, 2017 00:04

    Mkanda wa kuendelea kushindwa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la Mashariki ya Kati unaendelea kiasi kwamba, muda mchache baada ya kutangazwa kushindwa kikamilifu ISIS nchini Syria, habari nyingine zinasema kuwa magaidi hao wakufurishaji wameshindwa kikamilifu pia nchini Iraq.

  • Iraq yatangaza rasmi kuangamizwa kundi la kigaidi la ISIS nchini humo

    Iraq yatangaza rasmi kuangamizwa kundi la kigaidi la ISIS nchini humo

    Dec 09, 2017 11:40

    Waziri Mkuu wa Iraq leo ametangaza rasmi kumalizika kwa mafanikio vita dhidi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS