Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Oct 16, 2017 04:32

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na Israel yagunduliwa katika maficho ya Daesh Syria

    Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na Israel yagunduliwa katika maficho ya Daesh Syria

    Oct 15, 2017 10:48

    Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yamegunduliwa katika maficho ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika mji uliokombolewa wa al Mayadin mkoani Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.

  • Nasrullah: Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Nasrullah: Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Oct 09, 2017 00:18

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo chake cha jeshi huko Syria.

  • Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya

    Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya

    Oct 08, 2017 10:42

    Vyombo vya mahakama nchini Iraq vinatazamiwa kuwatolea hukumu ikiwemo hukumu ya kifo, makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) raia wa nchi za Ulaya.

  • Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS

    Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS

    Oct 05, 2017 04:34

    Jeshi la Iraq limetangaza kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija kutoka katika makucha ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Makamanda 7 wa Daesh waangamizwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Russia huko Syria

    Makamanda 7 wa Daesh waangamizwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Russia huko Syria

    Oct 03, 2017 10:59

    Wizara ya Ulinzi ya Russia leo imetangaza habari ya kuuawa makamanda saba wa kundi la kigaidi la Daesh katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.

  • Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel

    Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel

    Oct 01, 2017 11:56

    Hussein Amir-Abdullahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Iran amesema hatua ya Massoud Barzani, Rais wa Serikali ya Eneo la Kurdistan ya kushinikiza kujitenga eneo hilo na serikali kuu ya Iraq ni sawa na kulishajiisha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Oct 01, 2017 00:23

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria kushindwa vibaya magaidi wa Daesh (ISIS) na Jabhatunnusra nchini Syria na kusema kuwa, ndege za kivita za Russia zimeua magaidi 2,359 na kujeruhi wengine 2,700 katika kipindi cha siku kumi zilizopita.

  • Makumi ya shule zafungwa na magaidi wa Daesh nchini Afghanistan

    Makumi ya shule zafungwa na magaidi wa Daesh nchini Afghanistan

    Sep 14, 2017 00:12

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limefunga shule 73 katika mkoa wa Jozjan, kaskazini mwa Afghanistan sambamba na kupora vifaa vya masomo.

  • Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Sep 12, 2017 22:02

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa asilimia 85 ya ardhi yake iliyokuwa ikidhibitiwa na magenge ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS