-
Syria: Tunaifahamu Marekani kama adui yetu na muungaji mkono wa magaidi
Sep 11, 2017 03:48Faisal Mekdad, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa makundi ya kigaidi yanayochafua usalama wa nchi hiyo yanaungwa mkono kikamilifu na kusaidiwa na Marekani na kwamba Washington ni adui mkubwa wa Syria.
-
EU yazitahadharisha nchi wanachama kutokana na mashambulizi ya kigaidi
Sep 07, 2017 10:07Kamishna wa Usalama wa Umoja wa Ulaya, Julian King amezionya nchi wanachama kutokana na wimbi la mashambulizi mapya ya makundi ya kigaidi.
-
Hezbollah: Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) lilianzishwa na Marekani
Sep 07, 2017 03:22Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naeem Qassim amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh liliundwa na Marekani kwa lengo la kutumiwa kuiangusha serikali halali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar al Assad.
-
Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor
Sep 06, 2017 02:44Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).
-
Viongozi wa Daesh waendelea kujisalimisha kwa askari wa Iraq, wengine wauawa
Sep 05, 2017 23:24Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limemuua mmoja wa makamanda wake wa ngazi ya juu baada ya kutaka kujisalimisha kwa askari wa Kikurdi wa Peshmerga.
-
Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor
Sep 05, 2017 09:32Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.
-
Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr
Sep 04, 2017 03:18Kundi la kwanza la jeshi la Syria na wapiganaji wa Hizbullah limeingia katika mji wa Dayr al-Zawr uliokuwa ukizingirwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa kipindi cha miaka 3.
-
Familia za Daesh zakimbia kaskazini mwa mkoa wa Salahuddin Iraq
Sep 03, 2017 23:13Sambamba na kukaribia wakati wa kutekelezwa oparesheni ya kuukomboa mji wa Shirqat katika mkoa wa Salahhudin huko kaskazini mwa Iraq, familia za magaidi wa kundi la Daesh zimeripotiwa kulikimbia eneo hilo usiku kucha.
-
Magaidi wa Daesh kusafishwa kikamilifu Iraq, karibuni hivi
Sep 02, 2017 21:59Mbunge mmoja wa Iraq ambaye pia anashughulikia masuala ya usalama nchini humo amesema kuwa, karibuni hivi itaanza operesheni ya kuwafurusha magaidi wa Daesh katika ngome yao iliyobakia ya al Hawija na hivyo kuwasafisha kabisa magaidi hao nchini Iraq.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-3
Sep 02, 2017 11:16Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tatu ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla huko katika nchi za Magharibi.