Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Marekani yakiri kuua makumi ya raia Iraq na Syria

    Marekani yakiri kuua makumi ya raia Iraq na Syria

    Dec 02, 2016 00:51

    Jeshi la Marekani limetoa taarifa na kukiri kuwa, muungano unaodaiwa kupambana na genge la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Washington umeua makumi ya raia katika kipindi cha tarehe 31 Machi hadi 22 Oktoba mwaka huu huko Iraq na Syria.

  • SAUTI: Wasiwasi wa kuanza wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi nchini Kenya

    SAUTI: Wasiwasi wa kuanza wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi nchini Kenya

    Nov 30, 2016 14:45

    Idara ya polisi Kenya imetoa tahadhari kufuatia njama ya kundi la Al Shabaab na kundi la kitakfiri la Daesh kupanga kuvamia magari ya umma katika maeneo ya mipaka pamoja na miji ya pwani kama vile Mombasa. Kenya imekuwa ikishambuliwa na magaidi tangu kikosi cha jeshi lake kuelekea nchini Somalia kusaidia kulinda amani katika ngome zinazokaliwa kimabavu na wafuasi wa kundi la ash Shabab.

  • Utumiaji wa silaha za kemikali kundi la Daesh na udharura wa Magharibi kujibu suala hilo

    Utumiaji wa silaha za kemikali kundi la Daesh na udharura wa Magharibi kujibu suala hilo

    Nov 30, 2016 04:48

    Alireza Jahangiri Mwakilishi wa Iran katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali (OPCW) alisema jana huko The Hague Uholanzi kuwa nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi ya Daesh na Jabhatul Nusra ambazo zinafanikisha upatikanaji wa silaha za kemikali kwa makundi hayo ili yazitumie dhidi ya raia wasio na hatia, ni lazima zitoa majibu kuhusiana na hatua zake hizo.

  • Iran yamuangamiza mmoja wa vinara wa ISIS mpakani

    Iran yamuangamiza mmoja wa vinara wa ISIS mpakani

    Nov 29, 2016 03:47

    Vikosi vya usalama vya Iran vimefanikiwa kumuangamiza mmoja kati ya vinara wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) katika eneo la mpakani.

  • Ripoti: Genge la Daesh linawashikilia Mayazidi 3500 wa Iraq

    Ripoti: Genge la Daesh linawashikilia Mayazidi 3500 wa Iraq

    Nov 25, 2016 04:28

    Kiongozi wa ofisi ya kufuatilia masuala ya raia wa Iraq wa kabila la Yazidi amesema kuwa, hadi sasa wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wanawashikilia mateka watu wa kabila hilo wapatao 3500.

  • Malaysia: Makumi ya raia waliojiunga na ISIS wameuawa na magaidi wenzao

    Malaysia: Makumi ya raia waliojiunga na ISIS wameuawa na magaidi wenzao

    Nov 25, 2016 01:27

    Khalid Abubakar, Kamanda wa Upelelezi wa jeshi la Polisi nchini Malaysia amesema kuwa, zaidi ya raia 50 wa nchi hiyo waliokuwa wamejiunga na kundi la ukufurishaji la Daesh wameuawa na wanachama wa genge hilo.

  •  Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ulazima wa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi muhimu katika matukio ya Mashariki ya Kati

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ulazima wa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi muhimu katika matukio ya Mashariki ya Kati

    Nov 23, 2016 08:54

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran daima imekuwa ikitoa wito kwa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi amilifu katika kukabiliana na mashinikizo dhidi ya mataifa na inayataka yasikae kimya na kuwa watazamaji tu wa matukio hayo.

  • Jaafari: Thuluthi moja ya Mosul imekombolewa na vikosi vya Iraq

    Jaafari: Thuluthi moja ya Mosul imekombolewa na vikosi vya Iraq

    Nov 22, 2016 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema jeshi la nchi hiyo likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi vimefanikiwa kukomboa thuluthi moja ya mji wa Mosul toka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Daesh wachinja wanazuoni wawili wa Kisuni nchini Misri

    Daesh wachinja wanazuoni wawili wa Kisuni nchini Misri

    Nov 21, 2016 04:11

    Hisia tofauti zimeendelea kutolewa kwenye mitandao ya kijamii baada ya wafuasi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS kusambaza picha za wanazuoni wawili wa Kisuni waliowachinja kwa kuwakata vichwa katika eneo la Sinai.

  • Al Abadi: Wanajeshi wa Iraq wamo ndani ya mji wa Mosul hivi sasa

    Al Abadi: Wanajeshi wa Iraq wamo ndani ya mji wa Mosul hivi sasa

    Nov 16, 2016 04:15

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wameshaingia katika mji wa Mosul na hivi sasa wanapambana na magaidi wa Daesh ndani ya mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS