-
Matumaini ya kuishi yamepungua nchini Marekani
Feb 12, 2018 04:35Imeelezwa kuwa, matumaini ya kuishi nchini Marekani yameendelea kupungua kwa mwaka wa pili mtawalia na kwamba, utafiti unaonyesha kuwa, matumizi ya madawa ya kulevya, unywaji pombe na kuongezeka kiwango cha matukio ya kujiua ni sababu kuu zilizochangia kupungua matumaini ya kuishi miongoni mwa raia wa nchi hiyo ya Kimagharibi.
-
Ripoti: Uuzaji wa mihadarati Marekani kuongezeka kwa asilimia 45
Dec 26, 2017 07:39Uuzaji 'halali' wa dawa ya kulevya aina ya bangi umeongezeka kwa asilimia 30 mwaka huu nchini Marekani, na mauzo hayo yanatazamiwa kuongezeka hadi asilimia 45 kufikia mwaka ujao 2018.
-
Mwanamfalme wa Saudi Arabia atiwa nguvuni Beirut akiwa na dawa za kulevya
Dec 24, 2017 03:24Askari usalama wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beirut nchini Lebanon wamemtia nguvuni mwanamfalme wa Saudi Arabia akiwa na dawa za kulevya.
-
Mapambano dhidi ya dawa za kulevya yanahitaji azma ya kimataifa
Dec 04, 2017 14:50Kongamano la Kimataifa la Kupambana na Dawa za Kulevya limenaza leo mjini Moscow, Russia kwa kushirikisha maspika wa mabunge ya nchi zaidi ya 40.
-
Larijani awasili Moscow kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Mihadarati
Dec 04, 2017 02:39Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amewasili Moscow mji mkuu wa Russia akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Mihadarati utakaojadili suala la vita dhidi ya madawa ya kulevya.
-
Iran imechukua hatua imara kukabiliana na biashara haramu ya mihadarati
Oct 09, 2017 02:30Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi la Iran amesema ili kuwepo mafanikio katika vita dhidi ya biashara haramu ya mihadarati kunahitajika mikakati endelevu ya kimataifa na bajeti ya kutosha.
-
Russia: Marekani na NATO zinaruhusu magendo ya dawa za kulevya Afghanistan
Aug 20, 2017 06:50Serikali ya Russia imetangaza kuwa, hatua ya Marekani na jumuiya ya kijeshi ya nchi za Magharibi NATO ya kutopambana na dawa za kulevya nchini Afghanistan licha ya kushadidi uzalishaji na magendo ya dawa hizo, inatia shaka na kustaajabisha.
-
Guterres: Wote watimize ahadi ya kutokomeza dawa za kulevya
Jun 27, 2017 07:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa ushirikiano wa kimataifa katika kupunguza biashara, matumizi na madhara ya matumizi ya madawa ya kulevya.
-
Kunufaika Magharibi kwa kujitolea mhanga Iran katika vita dhidi ya madawa ya kulevya
Feb 28, 2017 07:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Magharibi inapaswa ikubali kuwajibika na kugharamika zaidi kutokana na usalama inaopata kutokana na vita vinavyoendeshwa na Iran dhidi ya magendo ya madawa ya kulevya.
-
Rahmani Fazli: Vita dhidi ya mihadarati vinahitajia ushirikiano wa kieneo na kimataifa
Feb 27, 2017 14:36Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya yanahitajia ushirikiano wa kieneo na kimataifa.