-
Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani
Aug 15, 2023 23:20Wakati kesi ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ikiendelea sambamba na kuandaliwa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa mwaka 2024, wataalamu wametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la misimamo mikali ya kisiasa miongoni mwa Wamarekani.
-
Tofauti zapamba moto baina ya Republican na Democrats kuhusu kesi ya mtoto wa Biden
Aug 08, 2023 23:42Chama cha Republican kimekosoa waziwazi mienendo ya kindumakuwili ya mfumo wa mahakama na Rais wa Merekani kuhusu kesi inayomkabili mtoto wa Joe Biden.
-
Rais wa Venezuela: White House ilipanga njama niuawe
Aug 05, 2023 22:59Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amemtuhumu aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump kwamba alikuwa mstari wa mbele katika kupanga njama iliyofeli ya kuuawa kiongozi huyo wa Amerika ya Latini.
-
Trump: Rais Biden ni mraibu wa mihadarati ya cocaine
Jul 06, 2023 23:39Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amedai kuwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo ni mtumiaji wa mihadarati aina ya cocaine, na kwamba vyombo vya habari vya nchi hiyo vinajaribu kufifiliza kashfa ya kupatikana dawa hiyo ya kulevya ndani ya Ikulu ya White House.
-
Uchunguzi wa maoni: Wapiga kura wa Marekani wana wasiwasi kuhusu maandalizi ya kiakili ya Biden na Trump
May 24, 2023 07:16Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni kuhusu uchaguzi uliofanyika karibuni nchini Marekani; wananchi wa nchi hiyo wanasema wana wasiwasi kuhusu kuwa tayari kiakili Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden na mtangulizi wake Donald Trump.
-
Trump ahukumiwa kulipa fidia ya dola milioni tano katika kesi ya unyanyasaji wa kingono
May 10, 2023 02:33Baraza la Wazee la Mahakama ya Serikali Kuu katika jimbo la New York nchini Marekani imempata na hatia rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump katika kesi ya unyanyasaji wa kingono na kumchafulia mtu jina na kumhukumu kulipa fidia ya zaidi ya dola milioni tano.
-
Kuchapishwa ripoti rasmi ya serikali ya Biden kuhusu kuondoka Afghanistan
Apr 08, 2023 22:44Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Alhamisi iliyopita iliwasilisha ripoti yake rasmi kuhusu namna serikali ya Biden ilivyoondoka kwa madhila na fedheha huko Afghanistan. Ndani ya ripoti hiyo, serikali ya Trump imetajwa mara kwa mara kuwa ndio inayopaswa kulaumiwa kwa jinsi Marekani ilivyondoka huko Afghanistan katika hali ya mivutano.
-
Bolton: Trump ni saratani ya Chama cha Republican
Apr 03, 2023 06:21Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Ikulu ya White House amemtaja Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, kuwa ni saratani ya Chama cha Republican.
-
Vyombo vya usalama vya Marekani vyajitayarisha kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Trump
Mar 19, 2023 02:22Vyombo vya habari vimeripoti kuwa askari usalama wa Marekani wanajitayarisha kwa ajili ya kumkamata rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump kuhusiana na faili la uhalifu lililofikishwa mahakamani.
-
Trump: Marekani ni tishio kuu kwa utamaduni wa Magharibi
Mar 18, 2023 10:47Rais wa zamani wa Marekani amesema kuwa Russia si tishio kubwa kwa Marekani bali baadhi ya raia wa nchi hiyo ndio tishio kwa Marekani na utamaduni wa Magharibi.