Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Muelekeo wa kiundumakuwili na wenye mgongano wa Marekani kuhusiana na JCPOA

    Muelekeo wa kiundumakuwili na wenye mgongano wa Marekani kuhusiana na JCPOA

    Jan 11, 2023 05:48

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani Ned Price amesema, hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na serikali ya rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kosa kubwa zaidi la kistratejia lililofanywa katika miaka ya karibuni kwa upande wa sera za nje za Washington.

  • Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi

    Dec 19, 2022 23:56

    Wabunge wa Marekani wanaochunguza shambulio dhidi ya jengo la Congress lililosababisha mauaji na uharibifu mkubwa wamependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump afunguliwe mashitaka ya uchochezi.

  • Trump aibua tuhuma nzito: Wizara ya Sheria ya Marekani ni fisadi

    Trump aibua tuhuma nzito: Wizara ya Sheria ya Marekani ni fisadi

    Nov 28, 2022 07:52

    Rais wa zamani wa Marekani ameishutumu Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kwa ufisadi na kwa kumhusisha yeye na mashtaka yasiyo ya haki.

  • Ugaidi wa ISIS unavyohudumia maadui wa taifa la Iran

    Ugaidi wa ISIS unavyohudumia maadui wa taifa la Iran

    Nov 03, 2022 07:38

    Jumatano, tarehe 27 Oktoba, damu ya Waislamu waliokuwa wamekwenda kuzuru na kufanya ibada  katika Haram tukufu ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Ahmad Ibn Musa (as) huko Shiraz kusini mwa Iran, ilimwagwa katika eneo hilo tukufu ambapo gaidi asiye na moyo wa kibinadamu wa kundi la Daesh aliwamiminia risasi ovyo waumini waliokuwa wakitekelea Swala ya Magharibi na kuua 15 Miongoni mwao.

  • Nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa kwenye makazi ya Trump Florida

    Nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa kwenye makazi ya Trump Florida

    Oct 22, 2022 08:49

    Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa nyumbani kwa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump.

  • Kitabu kipya chafichua hofu ya Trump ya kulipiziwa kisasi na Iran kwa mauaji ya Kamanda Soleimani

    Kitabu kipya chafichua hofu ya Trump ya kulipiziwa kisasi na Iran kwa mauaji ya Kamanda Soleimani

    Sep 14, 2022 07:36

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, aliwaambia rafiki zake kabla ya kumalizika muhula wake wa urais kuwa, alikuwa akihofia kwamba Iran ingejaribu kumuuwa ili kulipiza kisasi mauaji ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduuzi ya Kiislamu (Sepah). Hayo ni kwa mujibu wa kitabu kipya.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 03:51

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • FBI katika hali ya tahadhari baada ya kuvamia nyumba ya Trump

    FBI katika hali ya tahadhari baada ya kuvamia nyumba ya Trump

    Sep 10, 2022 03:43

    Maafisa wa usalama wa Marekani wamewekwa katika hali ya tahadhari baada ya Polisi ya Upelelezi ya Shirikisho la Marekani (FBI) kuvamia makazi ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Aug 16, 2022 22:07

    Aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump amesema, kuondoka majeshi ya nchi hiyo Afghanistan ilikuwa hatua ya pupa na ya udhalilishwaji.

  • Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba

    Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba

    Jul 27, 2022 21:53

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema nchi hiyo imegeuka na kuwa 'taifa ombaomba' na kwamba hivi sasa nchi hiyo inakumbwa na wimbi la udhalilishaji wa kihistoria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS