-
Muelekeo wa kiundumakuwili na wenye mgongano wa Marekani kuhusiana na JCPOA
Jan 11, 2023 05:48Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani Ned Price amesema, hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na serikali ya rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kosa kubwa zaidi la kistratejia lililofanywa katika miaka ya karibuni kwa upande wa sera za nje za Washington.
-
Wabunge wa Marekani wataka Trump ashitakiwe kwa uchochezi
Dec 19, 2022 23:56Wabunge wa Marekani wanaochunguza shambulio dhidi ya jengo la Congress lililosababisha mauaji na uharibifu mkubwa wamependekeza rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump afunguliwe mashitaka ya uchochezi.
-
Trump aibua tuhuma nzito: Wizara ya Sheria ya Marekani ni fisadi
Nov 28, 2022 07:52Rais wa zamani wa Marekani ameishutumu Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kwa ufisadi na kwa kumhusisha yeye na mashtaka yasiyo ya haki.
-
Ugaidi wa ISIS unavyohudumia maadui wa taifa la Iran
Nov 03, 2022 07:38Jumatano, tarehe 27 Oktoba, damu ya Waislamu waliokuwa wamekwenda kuzuru na kufanya ibada katika Haram tukufu ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Ahmad Ibn Musa (as) huko Shiraz kusini mwa Iran, ilimwagwa katika eneo hilo tukufu ambapo gaidi asiye na moyo wa kibinadamu wa kundi la Daesh aliwamiminia risasi ovyo waumini waliokuwa wakitekelea Swala ya Magharibi na kuua 15 Miongoni mwao.
-
Nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa kwenye makazi ya Trump Florida
Oct 22, 2022 08:49Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa nyaraka nyeti zinazohusiana na Iran zimekutwa nyumbani kwa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump.
-
Kitabu kipya chafichua hofu ya Trump ya kulipiziwa kisasi na Iran kwa mauaji ya Kamanda Soleimani
Sep 14, 2022 07:36Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, aliwaambia rafiki zake kabla ya kumalizika muhula wake wa urais kuwa, alikuwa akihofia kwamba Iran ingejaribu kumuuwa ili kulipiza kisasi mauaji ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduuzi ya Kiislamu (Sepah). Hayo ni kwa mujibu wa kitabu kipya.
-
Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11
Sep 12, 2022 03:51Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.
-
FBI katika hali ya tahadhari baada ya kuvamia nyumba ya Trump
Sep 10, 2022 03:43Maafisa wa usalama wa Marekani wamewekwa katika hali ya tahadhari baada ya Polisi ya Upelelezi ya Shirikisho la Marekani (FBI) kuvamia makazi ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani
Aug 16, 2022 22:07Aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump amesema, kuondoka majeshi ya nchi hiyo Afghanistan ilikuwa hatua ya pupa na ya udhalilishwaji.
-
Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba
Jul 27, 2022 21:53Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema nchi hiyo imegeuka na kuwa 'taifa ombaomba' na kwamba hivi sasa nchi hiyo inakumbwa na wimbi la udhalilishaji wa kihistoria.