-
Mamilionea wa Marekani wasema hawataunga mkono kampeni za Trump 2020
Dec 25, 2018 10:58Utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la habari la CNBC unaonesha kuwa Rais Donald Trump wa Marekani anaendelea kupoteza uungaji mkono sio tu miongoni mwa wananchi, bali pia miongoni mwa wafanyabiashara matajiri waliomuunga mkono katika kampeni zake za uchaguzi uliopita mwaka 2016.
-
Shughuli za serikali ya Marekani Zaendelea kukwama, Trump hana Krismasi
Dec 24, 2018 01:08Sehemu kubwa ya shughuli za serikali ya Marekani zitaendelea kusitishwa kwa siku tano, kutokana na mkwamo kwenye ufadhili wa ujenzi wa ukuta wa kuzuia wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico.
-
Wimbi la jumbe za "Trump Jiuzulu" lamiminika kwenye mtandao wa Twitter ndani ya Marekani
Dec 23, 2018 11:47Shakhsia wengi maarufu na wabunge wa Kongresi ya Marekani wamekuwa wakituma jumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kumtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump ang'atuke madarakani.
-
"Mbwa Kichaa" ajiuzulu, sababu ni hitilafu kati yake na Donald Trump
Dec 21, 2018 01:10Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis maarufu kwa jina la "Mbwa Kichaa" amejiuzulu wadhifa huo kutokana na hitilafu za kimitazamo kati yake na Rais Donald Trump wa hiyo.
-
Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri
Dec 20, 2018 23:07Tatizo la kilimwengu la wahajiri ni ukweli ambao umedhihirika wazi katika miaka ya hivi karibuni tena kwa namna ambayo haijawahi kushuhudiwa.
-
Uamuzi wa Trump wa kuondoka askari wa Marekani nchini Syria
Dec 20, 2018 07:06Baada ya kuanza mgogoro wa Syria mwaka 2011, Marekani kama kinara wa nchi za Magharibi ikishirikiana na Italia na Ufaransa katika jitihada za kutimiza malengo ya Magharibi na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka kuangamiza kambi ya mapambano Mashariki ya Kati na kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria, ilijikita zaidi katika suala la kuyasaidia makundi ya kigaidi na waasi wanaobeba silaha kwa ajili ya eti kuiondoa madarakani serikali ya Rais Bashar Assad.
-
Shamkhani: Ubeberu wa kimataifa unataka kutoa pigo dhidi ya Iran
Dec 19, 2018 11:52Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, ubeberu wa kimataifa unaoongozwa na Marekani umezidisha vikwazo na mashinikizo kwa shabaha ya kutoa pigo na dhoruba dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini utashindwa na kufeli kama ilivyokuwa katika kipindi chote cha miaka 40 iliyopita.
-
Indhari kali ya Putin kwa Washington; kuimarisha nguvu ya nyuklia ya Russia
Dec 19, 2018 07:58Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa nchi yake itajitoa katika makubaliano ya silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF). Kisingizio kikuu cha Marekani cha kutaka kujitoa kwenye mkataba huo wa kiistratijia na wenye umuhimu mkubwa ni madai kwamba Russia imekiuka vipengee vya makubaliano hayo.
-
Trump hamsazi yeyote, azishambulia vikali Facebook, Twitter na Google
Dec 19, 2018 04:19Sanjari na kuendelea kuwashambulia wakosoaji wake na hata kuwafukuza kazi wapambe wake, rais wa Marekani Donald Trump sasa ameelekeza makombora yake dhidi ya mashirika ya intaneti na mitandao ya kijamii ya Google, Facebook na Twitter.
-
Hillary Clinton: Uchaguzi wa Marekani unatawaliwa na mfumo dume
Dec 18, 2018 23:19Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton ameushambulia mfumo wa uchaguzi wa nchi hiyo akiutaja kuwa unatawaliwa na mfumo dume.