Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Idadi ya vifo vya Ebola yazidi 1,000 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Idadi ya vifo vya Ebola yazidi 1,000 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jul 24, 2026 02:40

    Idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa sasa wa virusi vya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefikia watu zaidi ya 1,000.

  • WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR

    WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR

    Jul 18, 2026 09:09

    Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Ebola yazidi kuwa tishio katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Ebola yazidi kuwa tishio katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Jul 17, 2026 02:57

    Mlipuko wa maradhi ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unasambaa zaidi ya juhudi zinazochukuliwa za kuudhibiti huku zaidi ya watu 2,000 wakiambukizwa na zaidi ya 750 wakiwa wameaga dunia.

  • Maambukizi ya Ebola yapanda hadi zaidi ya 1,800 nchini DRC huku virusi vikisambaa hadi mkoa wa nne

    Maambukizi ya Ebola yapanda hadi zaidi ya 1,800 nchini DRC huku virusi vikisambaa hadi mkoa wa nne

    Jul 11, 2026 11:28

    Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imevuka 1,800, kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotolewa siku ya Jumamosi, huku virusi hivyo vikisambaa hadi mkoa wa nne katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Idadi ya vifo kutokana na maradhi ya Ebola DRC vyafikia 506

    Idadi ya vifo kutokana na maradhi ya Ebola DRC vyafikia 506

    Jul 07, 2026 03:21

    Idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeongezeka na kufikia 506.

  • Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani

    Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani

    Jun 24, 2026 10:51

    Wizara ya Afya ya Kenya imesitisha ujenzi wa kituo cha karantini cha ugonjwa wa Ebola kinachozua utata, ambacho kinamilikiwa na Marekani, baada ya changamoto ya kisheria kuhoji uhalali wa mradi huo na hatari zake kwa jamii.

  • Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola

    Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola

    Jun 21, 2026 02:55

    Mkuu wa Vituo vya Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema bara hilo linahitaji kuwekeza fedha zake lenyewe katika kukabiliana na Ebola.

  • Wanasayansi: Aina ya sasa ya Ebola imeitoka kwa wanyamapori

    Wanasayansi: Aina ya sasa ya Ebola imeitoka kwa wanyamapori

    Jun 19, 2026 03:46

    Ugonjwa wa sasa wa Ebola, ambao ulizuka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda mwezi uliopita, ni matokeo ya kuenea kwa wanyamapori. Haya yameelezwa na wanasayansi kutoka nchi hizo mbili jana Alhamisi.

  • Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana

    Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana

    Jun 14, 2026 03:09

    Wanawake na wasichana wanawakilisha asilimia 53.4 ya wagonjwa wa Ebola waliothibitishwa kwa vipimo vya maabara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda, sawa na wagonjwa 244 kati ya 457 kwa mujibu wa taarifa za wagonjwa katika maeneo zilikopatikana. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake.

  • WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jun 13, 2026 02:37

    Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS