Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Mkutano wa India na Afrika waahirishwa kutokana na mlipuko wa Ebola

    Mkutano wa India na Afrika waahirishwa kutokana na mlipuko wa Ebola

    May 24, 2026 03:23

    Umoja wa Afrika (AU) umekubaliana na India kuahirisha mkutano uliopangwa kufanyika New Delhi kutokana na hofu ya kuenea mlipuko wa Ebola ulioua zaidi ya watu 160 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na mtu mmoja nchini Uganda jirani.

  • Mkuu wa afya barani Afrika: Mlipuko wa Ebola unatishia nchi 10 zaidi

    Mkuu wa afya barani Afrika: Mlipuko wa Ebola unatishia nchi 10 zaidi

    May 24, 2026 03:21

    Kituo cha Afya cha Umoja wa Afrika kimetahadharisha kuwa nchi kumi za Kiafrika ziko hatarini kuathiriwa na virusi vya Ebola, mbali na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda.

  • Kundi la Kimataifa la Mawasiliano lazitaka pande hasimu Kongo kufanikisha juhudi za kukabiliana na Ebola

    Kundi la Kimataifa la Mawasiliano lazitaka pande hasimu Kongo kufanikisha juhudi za kukabiliana na Ebola

    May 23, 2026 12:26

    Kundi la Kimataifa la Mawasiliano la Eneo la Maziwa Makuu (ICG) limebainisha wasiwasi wake kuhusu kuendelea mzozo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku nchi hiyo ikiwa imeathiriwa na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola.

  • Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo

    Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo

    May 22, 2026 14:38

    Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai miili ya jamaa zao waliofariki dunia kwa ugonjwa huo.

  • Ebola imeua watu  139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda

    Ebola imeua watu 139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda

    May 21, 2026 12:56

    Takriban wagonjwa 600 sasa wanashukiwa kuwa na Ebola na vifo 139 vikishukiwa kusababishwa na ugonjwa huo hali inayoongeza hofu ya kuenea zaidi kwa mlipuko wa sasa wa Ebola.

  • UNICEF: Mlipuko wa Ebola umewaweka Watoto hatarini

    UNICEF: Mlipuko wa Ebola umewaweka Watoto hatarini

    May 21, 2026 04:33

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, limesema lina wasiwasi mkubwa kuhusu mlipuko wa Ebola unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na Uganda, huku likionya kuwa watoto wako kwenye hatari kubwa zaidi.

  • Uganda yawaweka karantini zaidi ya watu 100 huku WHO ikitoa tahadhari kuhusu kasi ya Ebola

    Uganda yawaweka karantini zaidi ya watu 100 huku WHO ikitoa tahadhari kuhusu kasi ya Ebola

    May 20, 2026 03:20

    Serikali ya Uganda inasema zaidi ya watu 100 wamewekwa karantini huku maafisa wa afya wakijitahidi kudhibiti mlipuko nadra wa Ebola unaohusishwa na aina ya virusi vya Bundibugyo.

  • WHO yaainisha mlipuko wa Ebola Congo DR na Uganda kama dharura ya afya ya umma

    WHO yaainisha mlipuko wa Ebola Congo DR na Uganda kama dharura ya afya ya umma

    May 17, 2026 08:45

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha mlipuko wa virusi vya Ebola vya Bundibugyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda kama dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.

  • Africa CDC: Kwa muda wa wiki moja, kesi za Ebola zimeongezeka zaidi ya maradufu mkoani Kasai, DRC

    Africa CDC: Kwa muda wa wiki moja, kesi za Ebola zimeongezeka zaidi ya maradufu mkoani Kasai, DRC

    Sep 12, 2025 06:57

    Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Maradhi, (Africa CDC) kimetangaza kuwa, idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola katika jimbo la Kasai kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka zaidi ya maradufuu katika muda wa wiki moja tangu ulipothibitishwa mripuko mpya wa ugonjwa huo katika eneo hilo.

  • DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari

    DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari

    Sep 05, 2025 07:08

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mripuko mpya wa Ebola katika jimbo la kati la Kasai, ambalo ni la 16 nchini humo tangu 1976, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likitahadharisha kuwa huenda maambukizi ya maradhi hayo yakaongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS