Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana

    Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana

    Jun 14, 2026 03:09

    Wanawake na wasichana wanawakilisha asilimia 53.4 ya wagonjwa wa Ebola waliothibitishwa kwa vipimo vya maabara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda, sawa na wagonjwa 244 kati ya 457 kwa mujibu wa taarifa za wagonjwa katika maeneo zilikopatikana. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake.

  • WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jun 13, 2026 02:37

    Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.

  • DRC: Visa vilivyothibitishwa vya Ebola vinakaribia 600

    DRC: Visa vilivyothibitishwa vya Ebola vinakaribia 600

    Jun 11, 2026 11:32

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kwamba idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola imepanda na kukaribia 600, huku kukiendelezwa uhamasishaji miongoni mwa wananchi kuhusu umuhimu wa kuchukua hatua za kujikinga.

  • Maandamano dhidi ya kituo cha kupambana na Ebola cha Marekani huko Kenya yageuka kuwa vurugu

    Maandamano dhidi ya kituo cha kupambana na Ebola cha Marekani huko Kenya yageuka kuwa vurugu

    Jun 09, 2026 13:42

    Polisi wa Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi dhidi ya raia waliokuwa wakiandamana huko Nanyuki leo Jumanne kupinga kuanzishwa kituo cha karantini cha Marekani ndani ya kambi ya kijeshi ili kuwapokea raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na Ebola.

  • Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa

    Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa

    Jun 06, 2026 11:10

    Ripoti zinasema kuwa, hospitali katika eneo lililoathiriwa na Ebola la Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imejaa idadi kubwa ya wagonjwa wa Ebola.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Nairobi kupinga kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya

    Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Nairobi kupinga kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya

    Jun 02, 2026 15:14

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano leo mjini Nairobi wakipinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya nchi hiyo na Marekani ya kuanzisha nchini Kenya kituo cha kuhifadhi Wamarekani wanaoshukiwa kuambukizwa virusi vya Ebola.

  • MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana

    MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana

    May 31, 2026 12:45

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba mlipuko wa Ebola katika Mkoa wa Ituri nchini Kongo DR unaenea kwa kasi kubwa zaidi kuliko juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) ikifuatilia ongezeko la dharura ya afya ya umma sambamba na kuwepo mamia ya visa vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola.

  • Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000

    Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000

    May 29, 2026 03:01

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola nchini humo imepindukia 1,000 huku kukiwa na ongezeko la maambukizi katika majimbo ya mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mkutano wa India na Afrika waahirishwa kutokana na mlipuko wa Ebola

    Mkutano wa India na Afrika waahirishwa kutokana na mlipuko wa Ebola

    May 24, 2026 03:23

    Umoja wa Afrika (AU) umekubaliana na India kuahirisha mkutano uliopangwa kufanyika New Delhi kutokana na hofu ya kuenea mlipuko wa Ebola ulioua zaidi ya watu 160 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na mtu mmoja nchini Uganda jirani.

  • Mkuu wa afya barani Afrika: Mlipuko wa Ebola unatishia nchi 10 zaidi

    Mkuu wa afya barani Afrika: Mlipuko wa Ebola unatishia nchi 10 zaidi

    May 24, 2026 03:21

    Kituo cha Afya cha Umoja wa Afrika kimetahadharisha kuwa nchi kumi za Kiafrika ziko hatarini kuathiriwa na virusi vya Ebola, mbali na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS