Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR

    Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR

    May 27, 2018 23:21

    Wizara ya Afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Jumatatu inaaza kupeana chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola katika vijiji viwili vilivyoathiriwa na mlipuko wa sasa wa maradhi hayo.

  • Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti

    Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti

    May 23, 2018 10:05

    Wagonjwa watatu walioambukizwa ugonjwa hatari wa Ebola wametoroka eneo la karantini walimokuwa katika hospitali moja huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mji wa Mbandaka huku madakatari wakiwa mbioni kuzuia ugonjwa huo hatari kuenea.

  • WHO: Maandalizi ya kukabiliana na mlipuko wa Ebola yameboreka zaidi sasa kuliko mwaka 2014

    WHO: Maandalizi ya kukabiliana na mlipuko wa Ebola yameboreka zaidi sasa kuliko mwaka 2014

    May 21, 2018 09:26

    Dakta Tedros Adhanom Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema leo kuwa kuenea kwa maradhi ya Ebola katika mji mkuu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni jambo lenye kutia hofu hata hivyo akasema kuwa maandalizi ya kukabiliana na hali ya sasa yameboreka zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2014 huko Magharibi mwa Afrika wakati ulivyoripotiwa mlipuko mkubwa wa homa hiyo hatari.

  • Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu

    Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu

    May 20, 2018 09:59

    Wafanyakazi wa sekta ya afya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wataanza kupewa chanjo ya Ebola kesho Jumatatu katika juhudi za kuzuia kuenea ugonjwa huo hatari.

  • WHO yapewa idhini ya kutumia chanjo ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    WHO yapewa idhini ya kutumia chanjo ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    May 14, 2018 22:43

    Maafisa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamelipatia idhini Shirika la Afya Duniani (WHO) kuingiza na kutumia nchini humo chanjo ya majaribio ya ugonjwa wa Ebola. Hayo yameelezwa jana na Dakta Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkurugenzi Mkuu wa WHO.

  • Kongo DR na UN zatuma wataalamu kukabiliana na mlipuko wa Ebola

    Kongo DR na UN zatuma wataalamu kukabiliana na mlipuko wa Ebola

    May 13, 2018 11:15

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na taasisi za Umoja wa Mataifa zimeanza kutuma nchini humo timu za wataalamu ili kujaribu kuzuia kuenea maambukizi ya homa ya Ebola ambayo hadi sasa inashukiwa tayari imeshawaambukiza watu zaidi ya 30.

  • WHO yatahadharisha juu ya kuibuka tena ugonjwa wa Ebola huko DRC

    WHO yatahadharisha juu ya kuibuka tena ugonjwa wa Ebola huko DRC

    May 11, 2018 23:47

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kuibuka tena ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Uganda yakumbwa tena na homa ya Marburg

    Uganda yakumbwa tena na homa ya Marburg

    Oct 20, 2017 13:18

    Uganda imethibitisha kufariki dunia mtu mmoja kwa homa inayoenezwa na kirusi cha Marburg, homa ambayo huambatana na kuvuja damu sawa kabisa na homa ya Ebola. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya wa nchi hiyo.

  • Walioambukizwa Ebola waongezeka DRC, wafika 20

    Walioambukizwa Ebola waongezeka DRC, wafika 20

    May 16, 2017 09:52

    Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC idadi ya visa vinavyoshukiwa kuwa ni Ebola imeongezeka na kufikia 20.

  • Ugonjwa wa Ebola waripotiwa DRC, watu watatu wafariki dunia

    Ugonjwa wa Ebola waripotiwa DRC, watu watatu wafariki dunia

    May 13, 2017 02:41

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, ugonjwa wa Ebola umezuka katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kwamba, hadi sasa watu watatu wamefariki dunia kwa ugonjwa huo hatari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS