-
Ugonjwa usilojulikana waibuka Liberia, 9 wapoteza maisha
Apr 28, 2017 10:14Watu tisa wamepoteza maisha na wengine wanane bado wako hospitalini nchini Liberia baada ya kuibuka ugonjwa usiojulikana na kuwakumba watu 17 tangu siku ya Jumatatu ya Aprili 24.
-
WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100
Dec 23, 2016 03:31Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.
-
Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry
Jun 01, 2016 10:58Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kumalizika maambukizo ya homa hatari ya Ebola huko Guinea Conakry.
-
Liberia yafunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufa kwa homa ya Ebola katika nchi hiyo jirani
Mar 23, 2016 10:29Serikali ya Liberia imechukua uamuzi wa kufunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufariki dunia katika nchi hiyo jirani kwa homa ya Ebola.
-
Ebola yaua watu 5 Guinea, maambukizi 800 yanachunguzwa
Mar 23, 2016 02:47Mripuko wa homa hatari ya Ebola nchini Guinea Conakry umesababisha vifo vya watu watano huku mamia ya wengine wakiaminika kuwa tayari wameambukizwa ugonjwa huo.
-
Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Guinea Conakry
Mar 18, 2016 23:18Shirika la Afya Duniani WHO limepeleka timu ya wataalamu Kusini mwa mkoa wa Nzérékoré nchini Guinea Conakry baada ya visa vipya viwili vya Ebola kubainika na kuthibitishwa katika maeneo ya kijijini.