Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Ugonjwa usilojulikana waibuka Liberia, 9 wapoteza maisha

    Ugonjwa usilojulikana waibuka Liberia, 9 wapoteza maisha

    Apr 28, 2017 10:14

    Watu tisa wamepoteza maisha na wengine wanane bado wako hospitalini nchini Liberia baada ya kuibuka ugonjwa usiojulikana na kuwakumba watu 17 tangu siku ya Jumatatu ya Aprili 24.

  • WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100

    Dec 23, 2016 03:31

    Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.

  • Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry

    Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry

    Jun 01, 2016 10:58

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kumalizika maambukizo ya homa hatari ya Ebola huko Guinea Conakry.

  • Liberia yafunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufa kwa homa ya Ebola katika nchi hiyo jirani

    Liberia yafunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufa kwa homa ya Ebola katika nchi hiyo jirani

    Mar 23, 2016 10:29

    Serikali ya Liberia imechukua uamuzi wa kufunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufariki dunia katika nchi hiyo jirani kwa homa ya Ebola.

  • Ebola yaua watu 5 Guinea, maambukizi 800 yanachunguzwa

    Ebola yaua watu 5 Guinea, maambukizi 800 yanachunguzwa

    Mar 23, 2016 02:47

    Mripuko wa homa hatari ya Ebola nchini Guinea Conakry umesababisha vifo vya watu watano huku mamia ya wengine wakiaminika kuwa tayari wameambukizwa ugonjwa huo.

  • Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Guinea Conakry

    Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Guinea Conakry

    Mar 18, 2016 23:18

    Shirika la Afya Duniani WHO limepeleka timu ya wataalamu Kusini mwa mkoa wa Nzérékoré nchini Guinea Conakry baada ya visa vipya viwili vya Ebola kubainika na kuthibitishwa katika maeneo ya kijijini.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS