Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Watu 33 wafariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Watu 33 wafariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Aug 05, 2018 03:41

    Watu wasiopungua 33 wanaripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, siku chache baada ya maambukizi ya ugonjwa huo hatari kuripotiwa tena nchini humo.

  • WHO yatangaza azma ya kukabiliana na Ebola DRC

    WHO yatangaza azma ya kukabiliana na Ebola DRC

    Aug 04, 2018 03:42

    Shirika la Afya Duniani WHO, limesema litafanya kila liwezalo kudhibiti kuenea kwa mlipuko wa Ebola ambao umethibitishwa huko jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.

  • Virusi vipya vya Ebola vyagunduliwa Sierra Leone

    Virusi vipya vya Ebola vyagunduliwa Sierra Leone

    Jul 27, 2018 03:17

    Serikali ya Sierra Leone imetangaza habari ya kungunduliwa virusi vipya ya ugonjwa hatari wa Ebola, miaka miwili baada ya maradhi hayo kusemekana kuwa yamemalizika kabisa nchini humo.

  • WHO: Tishio la ugonjwa wa Ebola limepungua DRC

    WHO: Tishio la ugonjwa wa Ebola limepungua DRC

    Jul 08, 2018 00:06

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa limepunguza kiwango cha tishio la kutokea kwa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo kutoka kiwango cha juu hadi kiwango cha wastani katika ngazi ya kitaifa na kimataifa.

  • Wanasiasa Uganda watakiwa kuchunga matamshi yao kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola + Sauti

    Wanasiasa Uganda watakiwa kuchunga matamshi yao kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola + Sauti

    May 31, 2018 13:10

    Wanasiasa nchini Uganda wameonywa kuhusu kutoa matamshi yanayoweza kuzusha hofu na wasiwasi mkubwa nchini Uganda na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...

  • Uganda yakanusha taarifa kuhusu mlipuko wa Ebola nchini humo

    Uganda yakanusha taarifa kuhusu mlipuko wa Ebola nchini humo

    May 28, 2018 03:11

    Serikali ya Uganda imekanusha taarifa zilizoenea za kuibuka nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola ambao umeua makumi ya watu katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokarasia ya Kongo.

  • Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR

    Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR

    May 27, 2018 23:21

    Wizara ya Afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Jumatatu inaaza kupeana chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola katika vijiji viwili vilivyoathiriwa na mlipuko wa sasa wa maradhi hayo.

  • Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti

    Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti

    May 23, 2018 10:05

    Wagonjwa watatu walioambukizwa ugonjwa hatari wa Ebola wametoroka eneo la karantini walimokuwa katika hospitali moja huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mji wa Mbandaka huku madakatari wakiwa mbioni kuzuia ugonjwa huo hatari kuenea.

  • WHO: Maandalizi ya kukabiliana na mlipuko wa Ebola yameboreka zaidi sasa kuliko mwaka 2014

    WHO: Maandalizi ya kukabiliana na mlipuko wa Ebola yameboreka zaidi sasa kuliko mwaka 2014

    May 21, 2018 09:26

    Dakta Tedros Adhanom Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema leo kuwa kuenea kwa maradhi ya Ebola katika mji mkuu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni jambo lenye kutia hofu hata hivyo akasema kuwa maandalizi ya kukabiliana na hali ya sasa yameboreka zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2014 huko Magharibi mwa Afrika wakati ulivyoripotiwa mlipuko mkubwa wa homa hiyo hatari.

  • Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu

    Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu

    May 20, 2018 09:59

    Wafanyakazi wa sekta ya afya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wataanza kupewa chanjo ya Ebola kesho Jumatatu katika juhudi za kuzuia kuenea ugonjwa huo hatari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS