-
Watu 33 wafariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Aug 05, 2018 03:41Watu wasiopungua 33 wanaripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, siku chache baada ya maambukizi ya ugonjwa huo hatari kuripotiwa tena nchini humo.
-
WHO yatangaza azma ya kukabiliana na Ebola DRC
Aug 04, 2018 03:42Shirika la Afya Duniani WHO, limesema litafanya kila liwezalo kudhibiti kuenea kwa mlipuko wa Ebola ambao umethibitishwa huko jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
-
Virusi vipya vya Ebola vyagunduliwa Sierra Leone
Jul 27, 2018 03:17Serikali ya Sierra Leone imetangaza habari ya kungunduliwa virusi vipya ya ugonjwa hatari wa Ebola, miaka miwili baada ya maradhi hayo kusemekana kuwa yamemalizika kabisa nchini humo.
-
WHO: Tishio la ugonjwa wa Ebola limepungua DRC
Jul 08, 2018 00:06Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa limepunguza kiwango cha tishio la kutokea kwa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo kutoka kiwango cha juu hadi kiwango cha wastani katika ngazi ya kitaifa na kimataifa.
-
Wanasiasa Uganda watakiwa kuchunga matamshi yao kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola + Sauti
May 31, 2018 13:10Wanasiasa nchini Uganda wameonywa kuhusu kutoa matamshi yanayoweza kuzusha hofu na wasiwasi mkubwa nchini Uganda na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Uganda yakanusha taarifa kuhusu mlipuko wa Ebola nchini humo
May 28, 2018 03:11Serikali ya Uganda imekanusha taarifa zilizoenea za kuibuka nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola ambao umeua makumi ya watu katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokarasia ya Kongo.
-
Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR
May 27, 2018 23:21Wizara ya Afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Jumatatu inaaza kupeana chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola katika vijiji viwili vilivyoathiriwa na mlipuko wa sasa wa maradhi hayo.
-
Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti
May 23, 2018 10:05Wagonjwa watatu walioambukizwa ugonjwa hatari wa Ebola wametoroka eneo la karantini walimokuwa katika hospitali moja huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mji wa Mbandaka huku madakatari wakiwa mbioni kuzuia ugonjwa huo hatari kuenea.
-
WHO: Maandalizi ya kukabiliana na mlipuko wa Ebola yameboreka zaidi sasa kuliko mwaka 2014
May 21, 2018 09:26Dakta Tedros Adhanom Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema leo kuwa kuenea kwa maradhi ya Ebola katika mji mkuu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni jambo lenye kutia hofu hata hivyo akasema kuwa maandalizi ya kukabiliana na hali ya sasa yameboreka zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka 2014 huko Magharibi mwa Afrika wakati ulivyoripotiwa mlipuko mkubwa wa homa hiyo hatari.
-
Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu
May 20, 2018 09:59Wafanyakazi wa sekta ya afya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wataanza kupewa chanjo ya Ebola kesho Jumatatu katika juhudi za kuzuia kuenea ugonjwa huo hatari.