-
WHO yapewa idhini ya kutumia chanjo ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
May 14, 2018 22:43Maafisa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamelipatia idhini Shirika la Afya Duniani (WHO) kuingiza na kutumia nchini humo chanjo ya majaribio ya ugonjwa wa Ebola. Hayo yameelezwa jana na Dakta Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkurugenzi Mkuu wa WHO.
-
Kongo DR na UN zatuma wataalamu kukabiliana na mlipuko wa Ebola
May 13, 2018 11:15Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na taasisi za Umoja wa Mataifa zimeanza kutuma nchini humo timu za wataalamu ili kujaribu kuzuia kuenea maambukizi ya homa ya Ebola ambayo hadi sasa inashukiwa tayari imeshawaambukiza watu zaidi ya 30.
-
WHO yatahadharisha juu ya kuibuka tena ugonjwa wa Ebola huko DRC
May 11, 2018 23:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kuibuka tena ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Uganda yakumbwa tena na homa ya Marburg
Oct 20, 2017 13:18Uganda imethibitisha kufariki dunia mtu mmoja kwa homa inayoenezwa na kirusi cha Marburg, homa ambayo huambatana na kuvuja damu sawa kabisa na homa ya Ebola. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya wa nchi hiyo.
-
Walioambukizwa Ebola waongezeka DRC, wafika 20
May 16, 2017 09:52Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC idadi ya visa vinavyoshukiwa kuwa ni Ebola imeongezeka na kufikia 20.
-
Ugonjwa wa Ebola waripotiwa DRC, watu watatu wafariki dunia
May 13, 2017 02:41Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, ugonjwa wa Ebola umezuka katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kwamba, hadi sasa watu watatu wamefariki dunia kwa ugonjwa huo hatari.
-
Ugonjwa usilojulikana waibuka Liberia, 9 wapoteza maisha
Apr 28, 2017 10:14Watu tisa wamepoteza maisha na wengine wanane bado wako hospitalini nchini Liberia baada ya kuibuka ugonjwa usiojulikana na kuwakumba watu 17 tangu siku ya Jumatatu ya Aprili 24.
-
WHO: Chanjo ya Ebola yatoa ulinzi wa asiilimia 100
Dec 23, 2016 03:31Utafiti uliochapishwa katika jarida la Lancet umeonyesha kuwa chanjo ya majaribio ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Ebola kwa jina la rVSV-ZEBOV inaonekana kuwa na athari kwa asilimia 100.
-
Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry
Jun 01, 2016 10:58Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kumalizika maambukizo ya homa hatari ya Ebola huko Guinea Conakry.
-
Liberia yafunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufa kwa homa ya Ebola katika nchi hiyo jirani
Mar 23, 2016 10:29Serikali ya Liberia imechukua uamuzi wa kufunga mipaka yake na Guinea Konacry baada ya watu kadhaa kufariki dunia katika nchi hiyo jirani kwa homa ya Ebola.