-
Ebola yaua watu 5 Guinea, maambukizi 800 yanachunguzwa
Mar 23, 2016 02:47Mripuko wa homa hatari ya Ebola nchini Guinea Conakry umesababisha vifo vya watu watano huku mamia ya wengine wakiaminika kuwa tayari wameambukizwa ugonjwa huo.
-
Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Guinea Conakry
Mar 18, 2016 23:18Shirika la Afya Duniani WHO limepeleka timu ya wataalamu Kusini mwa mkoa wa Nzérékoré nchini Guinea Conakry baada ya visa vipya viwili vya Ebola kubainika na kuthibitishwa katika maeneo ya kijijini.