Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Erdogan

  • Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki: Tutaendelea kuwa pamoja na Qatar

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki: Tutaendelea kuwa pamoja na Qatar

    Jun 25, 2017 15:45

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki sambamba na kuunga mkono msimamo wa Qatar kuhusu matakwa ya baadhi ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi amesema kuwa, nchi yake itaendelea kuwa pamoja na Doha.

  • Merkel ajibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na Erdogan

    Merkel ajibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na Erdogan

    Mar 14, 2017 06:55

    Kansela wa Ujerumani amesema kuwa, tuhuma zilizotolewa na Rais wa Uturuki dhidi yake kuhusu kuwaunga mkono magaidi hazina msingi wowote.

  • Marais Rouhani na Erdogan wazungumzia uhusiano wa Iran na Uturuki

    Marais Rouhani na Erdogan wazungumzia uhusiano wa Iran na Uturuki

    Mar 01, 2017 15:34

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbali mbali likiwemo la umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili.

  • Marais wa Iran na Uturuki wasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Marais wa Iran na Uturuki wasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Jan 13, 2017 03:40

    Marais wa Iran na Uturuki wamesisitiza tena udharura wa kuimarishwa ushirikiano wa Tehran, Ankara na Moscow katika kuimarisha amani ya Mashariki ya Kati na kupambana na ugaidi.

  • Erdogan: Madola ajinabi yalihusika kuratibu mapinduzi

    Erdogan: Madola ajinabi yalihusika kuratibu mapinduzi

    Aug 03, 2016 02:22

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki ameyataja madola ya nje kuwa yalihusika na kuratibu mapinduzi yaliyofeli nchini humo.

  • Jaribio la Mapinduzi ya Kijeshi Uturuki, Rais Erdogan Aapa kuwaadhibu wahusika

    Jaribio la Mapinduzi ya Kijeshi Uturuki, Rais Erdogan Aapa kuwaadhibu wahusika

    Jul 16, 2016 03:53

    Kumejiri jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Uturuki Ijumaa usiku huku watu 42 wakiripotiwa kupoteza maisha katika mji mkuu Ankara na Rais ReccepTayyib Erdogan akisema jaribio hilo limeshindwa.

  • Erdogan apiga magoti na kumuomba radhi Putin

    Erdogan apiga magoti na kumuomba radhi Putin

    Jun 27, 2016 16:08

    Rais wa Uturuki amemwandikia barua mwenzake wa Russia, Vladimir Putin akimuomba radhi kutokana na kuangushwa ndege ya nchi hiyo katika mpaka wa Uturuki na Syria.

  • Waziri Mkuu mpya Uturuki aahidi kuongezewa mamlaka rais

    Waziri Mkuu mpya Uturuki aahidi kuongezewa mamlaka rais

    May 22, 2016 16:20

    Binali Yildirim, Waziri wa Uchukuzi wa Uturuki ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa chama tawala AKP sambamba na kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi ya Ahmet Davutoğlu.

  • Mtazamo wa Rais Rouhani kuhusu jukumu la Iran na Uturuki katika usalama wa kieneo

    Mtazamo wa Rais Rouhani kuhusu jukumu la Iran na Uturuki katika usalama wa kieneo

    Apr 17, 2016 07:41

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika kikao cha pamoja cha waandishi habari na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Ankara na kusema kuleta uthabiti na usalama katika eneo ni jukumu la kisheria la nchi hizi mbili.

  • Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na OIC

    Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na OIC

    Apr 16, 2016 16:06

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran itaendelea kuwa pamoja na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) maadamu jumuiya hiyo inashikamana na malengo yake ya asili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS