Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia: Kufunguliwa tena barabara zinazoelekea katika bahari Nyekundu ni kipaumbele

    Ethiopia: Kufunguliwa tena barabara zinazoelekea katika bahari Nyekundu ni kipaumbele

    Jul 12, 2018 03:05

    Ethiopia imesema kuwa inataka kulipa kipaumbele suala la kuzifungua tena barabara mbili zinazoiunganisha nchi hiyo na bandari mbili za Eritrea zilizopo katika bahari Nyekundu kufuatia kufikiwa mapatano baina ya nchi mbili hizo.

  • Ethiopia kuharakisha utekekezaji mapatano na Eritrea

    Ethiopia kuharakisha utekekezaji mapatano na Eritrea

    Jul 10, 2018 09:21

    Waziri Mkuu wa Ethiopia leo amesema serikali yake inalenga kutekeleza haraka mapatano yaliyofikiwa na nchi jirani ya Eritrea ili kujaza pengo la fursa zilizopotea katika miongo miwili ya uhasama baina ya nchi hizo mbili jirani.

  • IGAD yapongeza kuhuishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Ethiopia na Eritrea

    IGAD yapongeza kuhuishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Ethiopia na Eritrea

    Jul 10, 2018 02:30

    Jumuiya ya Kiserikali ya Maendeleo Mashariki mwa Afrika IGAD imepongeza hatua ya nchi mbili jirani za Ethiopia na Eritrea kukubaliana kurejesha tena uhusiano wao kidiplomasia na kufungua ofisi za kibalozi katika miji mikuu ya nchi hizo, baada ya majirani hao kuhasimiana kwa karibu miongo miwili.

  • Ethiopia na Eritrea zakubaliana kurejesha uhusiano wa kidiplomasia

    Ethiopia na Eritrea zakubaliana kurejesha uhusiano wa kidiplomasia

    Jul 09, 2018 00:17

    Nchi mbili jirani za Ethiopia na Eritrea zimekubaliana kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia baina ya pande hizo mbili na kufungua ofisi za kibalozi katika miji mikuu ya nchi hizo.

  • Mkutano wa Kihistoraia wa viongozi wa Ethiopia na Eritrea

    Mkutano wa Kihistoraia wa viongozi wa Ethiopia na Eritrea

    Jul 08, 2018 09:06

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Ali leo amewasili katika mji mkuu wa nchi jirani ya Eritrea, Asmara na kulakiwa kwa taadhima kubwa na rais wa nchi hiyo Isaias Afwerki katika uwanja wa ndege.

  • Ethiopia yayaondoa makundi 3 ya kisiasa katika orodha ya 'magaidi'

    Ethiopia yayaondoa makundi 3 ya kisiasa katika orodha ya 'magaidi'

    Jul 05, 2018 09:19

    Serikali ya Ethiopia imeyaondoa makundi matatu ya upinzani katika orodha ya 'makundi ya kigaidi', huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za mageuzi zinazochukuliwa na Waziri Mkuu wa sasa, Abiy Ahmed.

  • Machafuko kusini mwa Ethiopia yapelekea watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao

    Machafuko kusini mwa Ethiopia yapelekea watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao

    Jul 04, 2018 22:10

    Machafuko yaliyolikumba eneo la kusini mwa Ethiopia tangu mwezi Juni mwaka huu yamewalazimisha watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao huku raia hao hivi sasa wakihitaji chakula na misaada mingine.

  • Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Jun 29, 2018 03:06

    Watu wasiopungua kumi wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa Ethiopia.

  • UN Yapongeza Ziara ya Kihistoria ya Ujumbe wa Eritrea nchini Ethiopia

    UN Yapongeza Ziara ya Kihistoria ya Ujumbe wa Eritrea nchini Ethiopia

    Jun 29, 2018 00:00

    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza ziara iliyofanywa na ujumbe wa ngazi wa juu wa Eritrea nchini Ethiopia, ikiwa ni hatua ya kwanza inayolenga kuurejesha uhusiano kati ya nchi hizo mbili uwe wa kawaida.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu

    Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu

    Jun 23, 2018 09:32

    Mripuko wa bomu umetokea katikati ya wafuasi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia mjini Addis Ababa na ambao ulikuwa umemkusudia kiongozi huyo na kusababisha watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS