-
Ethiopia: Kufunguliwa tena barabara zinazoelekea katika bahari Nyekundu ni kipaumbele
Jul 12, 2018 03:05Ethiopia imesema kuwa inataka kulipa kipaumbele suala la kuzifungua tena barabara mbili zinazoiunganisha nchi hiyo na bandari mbili za Eritrea zilizopo katika bahari Nyekundu kufuatia kufikiwa mapatano baina ya nchi mbili hizo.
-
Ethiopia kuharakisha utekekezaji mapatano na Eritrea
Jul 10, 2018 09:21Waziri Mkuu wa Ethiopia leo amesema serikali yake inalenga kutekeleza haraka mapatano yaliyofikiwa na nchi jirani ya Eritrea ili kujaza pengo la fursa zilizopotea katika miongo miwili ya uhasama baina ya nchi hizo mbili jirani.
-
IGAD yapongeza kuhuishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Ethiopia na Eritrea
Jul 10, 2018 02:30Jumuiya ya Kiserikali ya Maendeleo Mashariki mwa Afrika IGAD imepongeza hatua ya nchi mbili jirani za Ethiopia na Eritrea kukubaliana kurejesha tena uhusiano wao kidiplomasia na kufungua ofisi za kibalozi katika miji mikuu ya nchi hizo, baada ya majirani hao kuhasimiana kwa karibu miongo miwili.
-
Ethiopia na Eritrea zakubaliana kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Jul 09, 2018 00:17Nchi mbili jirani za Ethiopia na Eritrea zimekubaliana kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia baina ya pande hizo mbili na kufungua ofisi za kibalozi katika miji mikuu ya nchi hizo.
-
Mkutano wa Kihistoraia wa viongozi wa Ethiopia na Eritrea
Jul 08, 2018 09:06Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Ali leo amewasili katika mji mkuu wa nchi jirani ya Eritrea, Asmara na kulakiwa kwa taadhima kubwa na rais wa nchi hiyo Isaias Afwerki katika uwanja wa ndege.
-
Ethiopia yayaondoa makundi 3 ya kisiasa katika orodha ya 'magaidi'
Jul 05, 2018 09:19Serikali ya Ethiopia imeyaondoa makundi matatu ya upinzani katika orodha ya 'makundi ya kigaidi', huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za mageuzi zinazochukuliwa na Waziri Mkuu wa sasa, Abiy Ahmed.
-
Machafuko kusini mwa Ethiopia yapelekea watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao
Jul 04, 2018 22:10Machafuko yaliyolikumba eneo la kusini mwa Ethiopia tangu mwezi Juni mwaka huu yamewalazimisha watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao huku raia hao hivi sasa wakihitaji chakula na misaada mingine.
-
Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia
Jun 29, 2018 03:06Watu wasiopungua kumi wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa Ethiopia.
-
UN Yapongeza Ziara ya Kihistoria ya Ujumbe wa Eritrea nchini Ethiopia
Jun 29, 2018 00:00Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza ziara iliyofanywa na ujumbe wa ngazi wa juu wa Eritrea nchini Ethiopia, ikiwa ni hatua ya kwanza inayolenga kuurejesha uhusiano kati ya nchi hizo mbili uwe wa kawaida.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu
Jun 23, 2018 09:32Mripuko wa bomu umetokea katikati ya wafuasi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia mjini Addis Ababa na ambao ulikuwa umemkusudia kiongozi huyo na kusababisha watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa.