-
Ethiopia na Eritrea zakubaliana kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Jul 09, 2018 00:17Nchi mbili jirani za Ethiopia na Eritrea zimekubaliana kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia baina ya pande hizo mbili na kufungua ofisi za kibalozi katika miji mikuu ya nchi hizo.
-
Mkutano wa Kihistoraia wa viongozi wa Ethiopia na Eritrea
Jul 08, 2018 09:06Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Ali leo amewasili katika mji mkuu wa nchi jirani ya Eritrea, Asmara na kulakiwa kwa taadhima kubwa na rais wa nchi hiyo Isaias Afwerki katika uwanja wa ndege.
-
Ethiopia yayaondoa makundi 3 ya kisiasa katika orodha ya 'magaidi'
Jul 05, 2018 09:19Serikali ya Ethiopia imeyaondoa makundi matatu ya upinzani katika orodha ya 'makundi ya kigaidi', huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za mageuzi zinazochukuliwa na Waziri Mkuu wa sasa, Abiy Ahmed.
-
Machafuko kusini mwa Ethiopia yapelekea watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao
Jul 04, 2018 22:10Machafuko yaliyolikumba eneo la kusini mwa Ethiopia tangu mwezi Juni mwaka huu yamewalazimisha watu zaidi ya laki nane kuyahama makazi yao huku raia hao hivi sasa wakihitaji chakula na misaada mingine.
-
Watu 10 wauawa katika mapigano ya kikabila magharibi mwa Ethiopia
Jun 29, 2018 03:06Watu wasiopungua kumi wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa Ethiopia.
-
UN Yapongeza Ziara ya Kihistoria ya Ujumbe wa Eritrea nchini Ethiopia
Jun 29, 2018 00:00Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepongeza ziara iliyofanywa na ujumbe wa ngazi wa juu wa Eritrea nchini Ethiopia, ikiwa ni hatua ya kwanza inayolenga kuurejesha uhusiano kati ya nchi hizo mbili uwe wa kawaida.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu
Jun 23, 2018 09:32Mripuko wa bomu umetokea katikati ya wafuasi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia mjini Addis Ababa na ambao ulikuwa umemkusudia kiongozi huyo na kusababisha watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa.
-
Genge la waasi nchini Ethiopia lasimamisha operesheni zake
Jun 22, 2018 23:39Kundi la waasi la Patriotic Ginbot7 (PG7) la Ethiopia limetangaza uamuzi wa upande mmoja wa kusimamisha kwa muda usiojulikana operesheni zake zote za utumiaji silaha katika maeneo yote ya nchi.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia kutembelea eneo lenye misukosuko la kusini
Jun 17, 2018 02:46Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed anatarajiwa kutembelea mji wa Hawassa ambao umekuwa na vurugu zilizotokana na tofauti zilizojitokeza baina ya makabila mawili maarufu ya jimbo la kusini mwa Ethiopia.
-
Watu 10 wafariki dunia katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia
Jun 16, 2018 11:27Mkuu wa Ofisi ya Mawasiliano wa Jimbo la 'Eneo la Mataifa ya Kusini' kusini mwa Ethiopia ametangaza habari ya kuuawa watu 10 na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila.