-
Ethiopia kuwasamehe mamia ya watu waliohukumiwa kwa makosa ya ugaidi
Jun 15, 2018 23:34Serikali ya Ethiopia imesema kuwa itawafutia mashtaka zaidi ya wafungwa 304 wakiwemo 289 wanaotumikia vifungo vya makosa ya ugaidi.
-
Riek Machar akubali kukutana ana kwa ana na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini
Jun 14, 2018 03:31Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar amekubali kukutana ana kwa ana na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika, wiki ijayo nchini Ethiopia.
-
Vinara wawili wa waasi Ethiopia warudi nyumbani baada ya mazungumzo na serikali
Jun 12, 2018 22:11Viongozi wawili wa kundi la waasi wa Ethiopia wamerudi nyumbani baada ya kufanya mazungumzo na waziri mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed Ali..
-
Ethiopia yakanusha madai ya kuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu
Jun 12, 2018 09:28Serikali ya Ethiopia imekadhibisha vikali madai kuwa inapanga kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds, kutoka Tel Aviv.
-
Shambulizi la guruneti lajeruhi 9 katika Chuo Kikuu Ethiopia
Jun 11, 2018 02:40Watu tisa wamejeuhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya Chuo Kikuu kimoja kusini mwa Ethiopia.
-
Ethiopia yaafiki kutekeleza makubaliano ya suluhu na Eritrea
Jun 06, 2018 22:49Serikali ya Ethiopia imeafiki kutekeleza makubaliano ya suluhu yaliyofikiwa baina yake na Eritrea kwa lengo la kuhitimisha vita na mapigano ya mpakani kati ya nchi mbili.
-
Ethiopia yakubali makubaliano ya amani na hasimu wa muda mrefu, Eritrea
Jun 06, 2018 02:48Ethiopia imetangaza kuwa itakubali masharti ya makubaliano ya amani na Eritrea ya mwaka 2000, katika hatua inayonuia kupunguza taharuki na msuguano wa miongo kadhaa na jirani yake huyo.
-
Maparomoko ya ardhi yaua watu 23 Ethiopia, mvua kubwa zaendelea
May 28, 2018 03:01Watu 23 wamefariki dunia na wengine sita wamejeruhiwa kutokana na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa katikati ya Ethiopia.
-
Jumatatu, Mei 28, 2018
May 27, 2018 23:43Leo ni Jumatatu mwezi 12 Ramadhani 1439 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Mei 2018 Milaadia.
-
Ethiopia yatoa msamaha kwa kiongozi wa upinzani aliyehukumiwa kifo
May 26, 2018 10:56Serikali ya Ethiopia leo imetoa msamaha kwa kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo mwenye uraia wa Uingereza ambaye alikuwa amehukumiwa adhabu ya kifo, ikiwa ni hatua mpya ya mlolongo wa utoaji msamaha na kuwaachia huru wapinzani iliyochukuliwa na serikali hiyo baada ya miaka kadhaa ya machafuko yaliyoshuhudiwa nchini humo.