Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Mamia wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Sep 26, 2017 04:29

    Serikali ya Ethiopia imesema mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyozuka mapema mwezi huu kusini na mashariki mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia

    Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia

    Sep 18, 2017 22:08

    Watu zaidi ya 50 wameuawa katika mapigano ya wiki moja katika maeneo la Oromiya na Somali nchini Ethiopia huku wengine 50,000 wakilazimika kukimbia makazi yao.

  • UN: Ethiopia inakabiliwa na Janga la njaa linaloweza kuongezeka

    UN: Ethiopia inakabiliwa na Janga la njaa linaloweza kuongezeka

    Sep 05, 2017 23:12

    Uwekezaji wa kina unahitajika ili wakazi wanaokabiliwa na njaa kutokana na ukame uliokithiri katika jimbo la Somali nchini Ethiopia waweze kustahimili ukame wa mara kwa mara unaosababishwa na athari za mabadiliko ya tabianchi.

  • Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia

    Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia

    Aug 11, 2017 11:44

    Mapigano makali yameripotiwa kujiri leo katika mji wa Pagak nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia wakati waasi walipoanzisha mashambulizi dhidi ya askari jeshi wa serikali.

  • Ijumaa 11 Agosti, 2017

    Ijumaa 11 Agosti, 2017

    Aug 10, 2017 23:59

    Leo ni Ijumaa tarehe 18 Dhulqaada 1438 Hijria, sawa na 11 Agosti 2017.

  • Bunge la Ethiopia laondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa nchini humo

    Bunge la Ethiopia laondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa nchini humo

    Aug 04, 2017 10:30

    Bunge la Ethiopia leo limeondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa kwa miezi kadhaa sasa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi

    Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi

    Aug 02, 2017 09:51

    Utawala wa Aal Saud umewafukuza maelfu ya wafanyakazi za vibarua raia wa Ethiopia kutokana na matatizo ya kifedha yanayoikabili nchi hiyo.

  • Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi

    Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi

    Jul 17, 2017 23:14

    Mahakama Kuu ya Kifederali ya Ethiopia imetangaza kuwa, raia 15 wa nchi hiyo wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi vilivyokuwa na lengo la kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.

  • Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia

    Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia

    Jul 02, 2017 10:48

    Shirika la madaktari wasio na mipaka wameonya kuhusu hali mbaya ya watoto wadogo mashariki mwa Ethiopia.

  • Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula

    Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula

    Jun 23, 2017 03:37

    Mashirika ya Kimataifa yametahadharisha kuwa, Ethiopia itaishiwa na misaada ya chakula ya dharura katika kipindi cha mwezi ujao, hali ambayo itawasibu karibu watu milioni nane walioathiriwa na ukame.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS