-
Mapigano makali yaikumba Sudan Kusini karibu na mpaka na Ethiopia
Aug 11, 2017 11:44Mapigano makali yameripotiwa kujiri leo katika mji wa Pagak nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia wakati waasi walipoanzisha mashambulizi dhidi ya askari jeshi wa serikali.
-
Ijumaa 11 Agosti, 2017
Aug 10, 2017 23:59Leo ni Ijumaa tarehe 18 Dhulqaada 1438 Hijria, sawa na 11 Agosti 2017.
-
Bunge la Ethiopia laondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa nchini humo
Aug 04, 2017 10:30Bunge la Ethiopia leo limeondoa sheria ya hali ya hatari iliyokuwa ikitekelezwa kwa miezi kadhaa sasa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi
Aug 02, 2017 09:51Utawala wa Aal Saud umewafukuza maelfu ya wafanyakazi za vibarua raia wa Ethiopia kutokana na matatizo ya kifedha yanayoikabili nchi hiyo.
-
Raia 15 wa Ethiopia wakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi
Jul 17, 2017 23:14Mahakama Kuu ya Kifederali ya Ethiopia imetangaza kuwa, raia 15 wa nchi hiyo wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi vilivyokuwa na lengo la kuidhoofisha serikali ya nchi hiyo.
-
Tahadhari kuhusu hali ya watoto mashariki mwa Ethiopia
Jul 02, 2017 10:48Shirika la madaktari wasio na mipaka wameonya kuhusu hali mbaya ya watoto wadogo mashariki mwa Ethiopia.
-
Ethiopia kuishiwa na misaada ya dharura ya chakula
Jun 23, 2017 03:37Mashirika ya Kimataifa yametahadharisha kuwa, Ethiopia itaishiwa na misaada ya chakula ya dharura katika kipindi cha mwezi ujao, hali ambayo itawasibu karibu watu milioni nane walioathiriwa na ukame.
-
Ethiopia kuishiwa na chakula cha misaada
Jun 10, 2017 11:27Serikali ya Ethiopia na makundi ya misaada ya kibinadamu yametangaza kuwa, nchi hiyo itaishiwa na chakula cha misaada kwa ajili ya watu milioni 7.8 walioathiriwa na ukame mkubwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu.
-
Kuendelea ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani nchini Ethiopia
May 28, 2017 22:41Ukandamizaji wa malalamiko ya wapinzani umeshuhudiwa tena katika eneo la Oromia, Ethiopia baada ya kutangazwa hali ya hatari na serikali na hivyo kuzusha wasi wasi na wahka kwa wakazi wa eneo hilo.
-
Polisi ya Ethiopia yatumia nguvu kuwatawanya wapinzani eneo la Oromia
May 27, 2017 23:14Vyombo vya habari nchini Ethiopia vimeripoti kwamba, polisi ya nchi hiyo imetumia nguvu dhidi ya wapinzani eneo la Oromia ambao walikuwa wanaandamana licha ya kutangazwa hali ya hatari na hivyo kuibua wasi wasi eneo hilo.