-
Euro bilioni 1.8 zakusanywa kwa ajili ya kupambana na njaa Afrika Magharibi
Apr 09, 2022 02:30Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, Euro bilioni 1.8 zimekusanywa kwa ajili ya kupambana na janga la njaa Afrika Magharibi.
-
FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia
Feb 04, 2022 07:53Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.
-
Jumamosi, 16 Oktoba, 2021
Oct 16, 2021 02:31Leo ni Jumamosi tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1443 Hijria sawa na tarehe 16 Oktoba 2021.
-
Indhari ya WFP na FAO kuhusu baa la njaa katika nchi kadhaa duniani
Nov 07, 2020 07:33Mashirika ya Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) yametahadharisha kuhusu njaa katika maeneo kadhaa duniani.
-
Ijumaa, tarehe 16 Oktoba, 2020
Oct 16, 2020 02:34Leo ni Ijumaa tarehe 28 Safar 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 16 Oktoba 2020.
-
FAO: Kenya imechukua hatua muafaka kuangamiza nzige
Jul 29, 2020 07:36Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa FAO linasema Kenya imepiga hatua kubwa katika kudhibiti nzige wa jangwani ambao walivamia eneo la Afrika Mashariki mapema na kwingineko mwezi February na kusababisha uharibifu mkubwa wa mazao.
-
Waafrika milioni 239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo
Feb 09, 2020 12:14Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa FAO Marina Helena Semedo amesema watu takriban milioni 239 wa Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakabiliwa na tatizo la njaa na utapiamlo.
-
FAO: Bei ya chakula duniani imepanda kuanzia mwezi Novemba
Dec 07, 2019 02:47Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa bei ya chakula duniani imepanda ndani ya mwezi uliopita wa Novemba.
-
Shirika la FAO lasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Nov 28, 2019 10:32Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limesisitizia azma yake ya kufungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati yake na Iran.
-
Jumatano tarehe 16 Oktoba 2019
Oct 16, 2019 02:55Leo ni Jumatano tarehe 17 Safar 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 16 Oktoba 2019.