Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghuba ya Uajemi

  • Iravani: Iran ni mmiliki wa visiwa vitatu katika maji ya Ghuba ya Uajemi

    Iravani: Iran ni mmiliki wa visiwa vitatu katika maji ya Ghuba ya Uajemi

    Apr 22, 2025 03:38

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha madai ya Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi kwamba Iran inaingilia mamlaka ya visiwa vya Boumousi, Tunb Kubwa na Tunb Ndogo katika Ghuba ya Uajemi na kuyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa kanuni na sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

  • Ghalibaf: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lisitekwe na kampeni za vita za Israel

    Ghalibaf: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lisitekwe na kampeni za vita za Israel

    Oct 20, 2024 07:37

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) la Iran amesema kuwa, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi linapaswa kuelewa na kutumia vizuri nguvu zake za dhati, lisikubali kutekwa na kampeni za kivita za utawala wa Kizayuni na liache kutoa madai yasiyo na msingi kuhusu ardhi ya Iran.

  • Ghuba ya Uajemi; nembo ya ukweli wa kihistoria usiokanushika

    Ghuba ya Uajemi; nembo ya ukweli wa kihistoria usiokanushika

    Jul 08, 2024 22:53

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa  akijibu msimamo wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusiana kuheshimiwa ardhi yote ya Iran na kutopotoshwa jina la Ghuba ya Uajemi.

  • Iran yaikataa taarifa 'isiyokubalika' ya Arab League kuhusu visiwa vyake vitatu vilivyoko Ghuba ya Uajemi

    Iran yaikataa taarifa 'isiyokubalika' ya Arab League kuhusu visiwa vyake vitatu vilivyoko Ghuba ya Uajemi

    May 17, 2024 04:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetupilia mbali kauli "isiyo na msingi" na "isiyokubalika" iliyotolewa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na visiwa vitatu vya Abu Musa na Tunb Kubwa na Ndogo vilivyoko katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa visiwa hivyo vitabaki kuwa milki ya Iran.

  • Iran: Usalama wa Ghuba ya Uajemi utahakikishwa kwa ushiriki tu wa nchi zote za eneo

    Iran: Usalama wa Ghuba ya Uajemi utahakikishwa kwa ushiriki tu wa nchi zote za eneo

    Apr 30, 2024 04:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema usalama wa Ghuba ya Uajemi utahakikishwa kwa ushiriki tu wa nchi zote za pwani ya ghuba hiyo.

  • Iran leo inaadhimisha Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi

    Iran leo inaadhimisha Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi

    Apr 29, 2024 03:49

    Wananchi wa Iran leo wanaadhimisha Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi, ambayo ni nembo ya misimamo isiyoyumba ya kukabiliana na njama za baadhi ya nchi za kikanda za kutaka kubadilisha jina la eneo hilo la kistratijia la maji.

  • Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash

    Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash

    Mar 28, 2024 02:20

    Naibu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Sheria, Mohammed Dehghan, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitafumbia jicho kwa hali yoyote ile haki zake katika medani ya pamoja ya gesi ya Arash na haitaruhusu upande wowote kukiuka sheria za kimataifa katika suala hili.

  • Iran yatwaa meli ya mafuta ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Iran yatwaa meli ya mafuta ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Mar 06, 2024 08:14

    Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanikiwa kukamata meli ya kubebea mafuta ya Marekani katika maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Jeshi la Iran: Manowari ya Kimarekani yakubaliwa kuingia Ghuba ya Uajemi baada ya kujibu maswali yote ya Wanamaji wa Iran

    Jeshi la Iran: Manowari ya Kimarekani yakubaliwa kuingia Ghuba ya Uajemi baada ya kujibu maswali yote ya Wanamaji wa Iran

    Nov 28, 2023 04:14

    Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema: Meli ya kubeba ndege za kivita ya Marekani ilikubaliwa kuingia Ghuba ya Uajemi kupitia Lango Bahari la Hormuz baada ya kujibu maswali yote ya vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa lugha ya kifarsi.

  • Baqeri: Ghuba ya Uajemi inahitaji usalama wa nchi za eneo tu

    Baqeri: Ghuba ya Uajemi inahitaji usalama wa nchi za eneo tu

    Sep 21, 2023 23:14

    Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa uwepo wa kijeshi wa maajinabi katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, nchi za eneo hili zina uwezo wa kujidhaminia usalama wao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS