• Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    May 06, 2016 08:38

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Apr 26, 2016 09:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amefichua kuwa utawala haramu wa Israel unatoa mafunzo ya kijeshi kwa askari wa Saudi Arabia katika mpango wa siri wa uhusiano wa tawala hizo mbili.

  • Hizbullah yaikosoa Saudia kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Hizbullah yaikosoa Saudia kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Apr 07, 2016 22:41

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya utawala wa Saudi Arabia ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Israel yatishia kumuua Katibu Mkuu wa Hizbullah

    Israel yatishia kumuua Katibu Mkuu wa Hizbullah

    Mar 24, 2016 03:35

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametishia kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Mar 21, 2016 23:07

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.

  • Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Mar 19, 2016 04:07

    Baada ya kufichuka awamu mpya ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, mbunge mmoja wa nchi hiyo amesema hatua ya Wazayuni kujipenyeza katika laini za mawasiliano ya Lebanon ni hujuma kwa usalama na mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo na ametaka hatua zichukuliwe kukabiliana hali hiyo.

  • Makundi ya Kipalestina yaiunga mkono Harakati ya Hizbullah

    Makundi ya Kipalestina yaiunga mkono Harakati ya Hizbullah

    Mar 18, 2016 04:09

    Makundi kadhaa ya muqawama ya Palestina yametangaza uungaji mkono wao kwa Harakati ya Kiislamu ya nchini Lebanon, Hizbullah

  • Algeria: Saudia ilimhonga dola milioni 2 Nabiil al Arabi

    Algeria: Saudia ilimhonga dola milioni 2 Nabiil al Arabi

    Mar 13, 2016 22:54

    Gazeti la al Shuruq la Algeria limefichua kwamba Saudi Arabia ilimhonga dola milioni mbili Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiarabu (Arab League) Nabiil al Arabi kwa akiji la kupasisha muswada wa kuitambua harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Mar 13, 2016 04:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani hatua ya hivi karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuitaja harakati hiyo kuwa "kundi la kigaidi" na kusema uamuzi huo ni sawa na "tangazo la hujuma" kutoka Saudi Arabia.

  • Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 12, 2016 04:39

    Algeria kwa mara nyingine imepinga uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kuitajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.