-
Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018
Jun 25, 2018 03:23Leo ni Jumatatu tarehe 11 Shawwal 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2018.
-
Mwanasiasa Mauritania: Imamu Khomeini (MA) ameiokoa Quds kutokana na kusahaulika
Jun 08, 2018 20:54Mkuu wa Chama cha Democratwi Wahdawi nchini Mauritania amesema kuwa, Ubunifu wa Imamu Khomeini (MA) katika kuitaja Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani kuwa siku ya Kimataifa ya Quds, kwa mara nyingine umehuisha matukufu ya Palestina kwa Waislamu duniani.
-
Askofu Mkuu wa Wakristo wa Iran: Imam Khomeini (MA) alikuwa daima akitilia mkazo uhuru wa jamii za dini za wachache
Jun 03, 2018 23:44Askofu Mkuu wa Wakristo wa Kiarmenia wa Tehran na kaskazini mwa Iran amesema: Imam Khomeini (MA) mwasisi mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikuwa daima akitilia mkazo uhuru wa jamii za dini za wachache.
-
Mkuu wa Kituo cha Kiislamu UK: Kwa mtazamo wa Imam Khomeini, Qur'ani imeleta ujumbe wa umoja
Jun 03, 2018 10:32Mkuu wa Kituo cha Kiislamu nchini Uingereza ameashiria Wasia wa Kimaanawi na Kisiasa wa Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba, kwa mtazamo wa kiongozi huyo Qur'ani imeleta ujumbe wa amani na umoja kwa jamii ya wanadamu.
-
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaanza mjini Tehran
Apr 19, 2018 10:42Mashindano ya Kimataifa ya 35 ya Qur'ani Tukufu yameanza leo mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 84 kutoka maeneo yote ya dunia.
-
Alkhamisi tarehe Mosi Machi 2018
Mar 01, 2018 01:03Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Jamadithani 1439 Hijria sawa na tarehe Mosi Machi 2018.
-
Jumatano tarehe 14 Februari 2018
Feb 14, 2018 08:21Leo ni Jumatano tarehe 27 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 14 Februari 2018.
-
Jumatano tarehe 7 Februari, 2018
Feb 06, 2018 23:10Leo ni Jumatano tarehe 20 Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na Februari 7, 2018.
-
Jumapili, 4 Februari, 2018
Feb 03, 2018 23:13Leo ni Jumapili tarehe 17 Jamadil-Awal mwaka 1439 Hijria, inayosadifiana na tarehe 4 Februari, mwaka 2018 Miladia.
-
Jumamosi, 3 Februari, 2018 Februari 2018
Feb 03, 2018 00:09Leo ni Jumamosi tarehe 16 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 3 Fenruari 2018 Miladia.