Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Ansarullah yaionya Imarati kutokana na hatua inazochukua ndani ya Yemen

    Ansarullah yaionya Imarati kutokana na hatua inazochukua ndani ya Yemen

    Oct 06, 2023 02:47

    Mjumbe wa baraza la kisiasa la harakati ya Ansarullah ameionya Imarati kuhusu hatua na harakati zake inazoendesha huko Yemen.

  • Uturuki yafanya mazungumzo na Iraq, Qatar na UAE kuhusu mradi wa

    Uturuki yafanya mazungumzo na Iraq, Qatar na UAE kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo"

    Sep 16, 2023 02:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amethibitisha kuwa nchi yake inafanya mazungumzo na Iraq, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) na Qatar kuhusu mradi wa "Barabara ya Maendeleo".

  • Jarida la Wall Street: Imarati imetuma silaha kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko Sudan

    Jarida la Wall Street: Imarati imetuma silaha kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko Sudan

    Aug 11, 2023 07:56

    Jarida la Kimarekani la Wall Street Journal limefichua katika ripoti yake kwamba Umoja wa Falme za Kiarabu unatoa misaada ya kijeshi kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF), vinavyopigana na jeshi la Sudan kwa miezi kadhaa sasa.

  • Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano

    Imarati na Qatar katika mkondo wa kupanua mahusiano

    Jul 25, 2023 11:44

    Amir wa Qatar amemteua Sultan Salmeen Saeed Al-Mansouri kuwa balozi wa mpya wa nchi hiyo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran

    Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran

    Jul 16, 2023 08:04

    Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na mwakilishi maalumu wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya Asia Magharibi na Afrika, amesisitiza juu ya kuheshimiwa mamlaka na umoja wa ardhi yote ya Iran kama nchi rafiki. Bogdanov ameyasema hayo katika mkutano na Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow.

  • Abdollahian: Kuimarisha uhusiano na majirani, kipaumbele cha Iran

    Abdollahian: Kuimarisha uhusiano na majirani, kipaumbele cha Iran

    Jun 22, 2023 07:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inalipa uzito suala la kuimarisha uhusiano na ushirikiano na mataifa jirani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Qatar na Imarati zarejesha uhusiano kamili wa kidiplomasia, mabalozi wa pande mbili waanza kazi

    Qatar na Imarati zarejesha uhusiano kamili wa kidiplomasia, mabalozi wa pande mbili waanza kazi

    Jun 20, 2023 03:14

    Qatar na Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kurejesha kikamilifu uhusiano wao wa kidiplomasia na tayari mabalozi wa pande hizo mbili wameanza kazi.

  • Kujitoa Imarati katika muungano wa baharini na Marekani; Sababu na ujumbe wake

    Kujitoa Imarati katika muungano wa baharini na Marekani; Sababu na ujumbe wake

    Jun 04, 2023 01:25

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Imarati hivi karibuni ilitoa taarifa na kutangaza kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) miezi miwili iliyopita ulijitoa na kuacha kushiriki kwenye Muungano wa Nguvu ya Baharini kutokana na tathmini yake endelevu ya ushirikiano mzuri wa usalama na washirika wake wote.

  • Iran na Imarati zatilia mkazo kustawisha ushirikiano baina yao

    Iran na Imarati zatilia mkazo kustawisha ushirikiano baina yao

    Apr 23, 2023 01:32

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) wamesisitiza umuhimu wa kupanua ushirikiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali.

  • Ansarullah yaitaka UAE kuondoa wanajeshi wake Yemen baada ya uamuzi wa Saudi wa kusitisha vita

    Ansarullah yaitaka UAE kuondoa wanajeshi wake Yemen baada ya uamuzi wa Saudi wa kusitisha vita

    Apr 08, 2023 11:00

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) unapaswa kuondoa wanajeshi wake kutoka Yemen baada ya Saudi Arabia kulifahamisha Baraza la Uongozi Yemen kuhusu uamuzi wa kuhitimisha vita vya miaka minane vilivyosababisha uharibifu mkubwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS