-
Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India
Jun 16, 2023 02:28Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.
-
Chama cha Modi chang'olewa Karnataka, jimbo la India lililopiga marufuku Hijabu
May 14, 2023 11:27Chama cha upinzani cha Congress nchini India kimeshinda katika uchaguzi wa jimbo muhimu la Karnataka kusini mwa nchi hiyo na kuking'oa chama tawala cha Waziri Mkuu Narendra Modi, BJP mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa kitaifa.
-
Jibu na hatua za serikali ya India dhidi ya uasi uliozuka katika majimbo manane ya nchi hiyo
May 09, 2023 01:23Uasi katika jimbo la Manipur umeilazimisha serikali ya India kutuma vikosi vya uchukuaji hatua za haraka na kuweka marufuku ya kutotoka nje katika miji minane tofauti ya nchi hiyo.
-
Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia
May 02, 2023 01:33Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametilia mkazo kuanzishwa utaratibu wa kutumia sarafu ya Riyali na Rupia katika mabadilishano ya kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na India.
-
Licha ya India kukanusha, OIC: Waislamu walilengwa kichuki katika tamasha la Wahindu
Apr 05, 2023 11:41Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imesema, kushambuliwa Waislamu wakati wa tamasha la Wahindu la Ram Navami ni 'dhihirisho la wazi la kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu' nchini India.
-
Wahindu wenye msimamo mkali washambulia shule ya Kiislamu na kuchoma nakala za Qur'ani na maelfu ya vitabu
Apr 04, 2023 13:30Wanaharakati kwenye majukwaa ya mawasiliano ya kijamiii ya India wamechapisha picha zinazoonyesha shule ya Kiislamu ikiteketea kwa moto katika jimbo la Bihar, baada ya kushambuliwa na Wahindu wenye msimamo mkali siku ya Ijumaa, na kusababisha uharibifu mkubwa.
-
Serikali ya India yabomoa msikiti mwingine kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara
Jan 17, 2023 07:28Serikali ya India imebomoa msikiti mwingine katika jimbo la Uttar Pradesh kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara.
-
Wataalamu: Ukoloni wa Uingereza ulisababisha vifo vya mamilioni ya watu nchini India
Dec 28, 2022 04:21Ukoloni wa Uingereza ulikuwa sababu ya vifo vya zaidi ya watu milioni mia moja nchini India.
-
Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'
Dec 16, 2022 11:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amemwita waziri mkuu wa India Narednra Modi "Chinjachinja wa Gujarat" baada ya waziri mwenzake wa India kuishutumu Pakistan kuwa "kitovu cha ugaidi" huku majirani hao wenye silaha za nyuklia wakikabiliana kwa vita vya maneno katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India
Nov 19, 2022 02:30Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Ijumaa alisisitiza kuwa kuna umuhimu Moscow kushirikiana na Tehran, Beijing, Ankara, New Delhi na nchi nyingine za pambizoni mwa bahari ya Kaspi.