Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Jun 16, 2023 02:28

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.

  • Chama cha Modi chang'olewa Karnataka, jimbo la India lililopiga marufuku Hijabu

    Chama cha Modi chang'olewa Karnataka, jimbo la India lililopiga marufuku Hijabu

    May 14, 2023 11:27

    Chama cha upinzani cha Congress nchini India kimeshinda katika uchaguzi wa jimbo muhimu la Karnataka kusini mwa nchi hiyo na kuking'oa chama tawala cha Waziri Mkuu Narendra Modi, BJP mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa kitaifa.

  • Jibu na hatua za serikali ya India dhidi ya uasi uliozuka katika majimbo manane ya nchi hiyo

    Jibu na hatua za serikali ya India dhidi ya uasi uliozuka katika majimbo manane ya nchi hiyo

    May 09, 2023 01:23

    Uasi katika jimbo la Manipur umeilazimisha serikali ya India kutuma vikosi vya uchukuaji hatua za haraka na kuweka marufuku ya kutotoka nje katika miji minane tofauti ya nchi hiyo.

  • Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia

    Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia

    May 02, 2023 01:33

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametilia mkazo kuanzishwa utaratibu wa kutumia sarafu ya Riyali na Rupia katika mabadilishano ya kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na India.

  • Licha ya India kukanusha, OIC: Waislamu walilengwa kichuki katika tamasha la Wahindu

    Licha ya India kukanusha, OIC: Waislamu walilengwa kichuki katika tamasha la Wahindu

    Apr 05, 2023 11:41

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imesema, kushambuliwa Waislamu wakati wa tamasha la Wahindu la Ram Navami ni 'dhihirisho la wazi la kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu' nchini India.

  • Wahindu wenye msimamo mkali washambulia shule ya Kiislamu na kuchoma nakala za Qur'ani na maelfu ya vitabu

    Wahindu wenye msimamo mkali washambulia shule ya Kiislamu na kuchoma nakala za Qur'ani na maelfu ya vitabu

    Apr 04, 2023 13:30

    Wanaharakati kwenye majukwaa ya mawasiliano ya kijamiii ya India wamechapisha picha zinazoonyesha shule ya Kiislamu ikiteketea kwa moto katika jimbo la Bihar, baada ya kushambuliwa na Wahindu wenye msimamo mkali siku ya Ijumaa, na kusababisha uharibifu mkubwa.

  • Serikali ya India yabomoa msikiti mwingine kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara

    Serikali ya India yabomoa msikiti mwingine kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara

    Jan 17, 2023 07:28

    Serikali ya India imebomoa msikiti mwingine katika jimbo la Uttar Pradesh kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara.

  • Wataalamu: Ukoloni wa Uingereza ulisababisha vifo vya mamilioni ya watu nchini India

    Wataalamu: Ukoloni wa Uingereza ulisababisha vifo vya mamilioni ya watu nchini India

    Dec 28, 2022 04:21

    Ukoloni wa Uingereza ulikuwa sababu ya vifo vya zaidi ya watu milioni mia moja nchini India.

  • Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'

    Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'

    Dec 16, 2022 11:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amemwita waziri mkuu wa India Narednra Modi "Chinjachinja wa Gujarat" baada ya waziri mwenzake wa India kuishutumu Pakistan kuwa "kitovu cha ugaidi" huku majirani hao wenye silaha za nyuklia wakikabiliana kwa vita vya maneno katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Nov 19, 2022 02:30

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Ijumaa alisisitiza kuwa kuna umuhimu Moscow kushirikiana na Tehran, Beijing, Ankara, New Delhi na nchi nyingine za pambizoni mwa bahari ya Kaspi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS