Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 25, 2024 23:34

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni miongoni mwa shakhsia mashuhuri ambao daima wanasisitiza juu ya ushiriki mkubwa wa wananchi katika chaguzi tofauti zinazofanyika nchini.

  • Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran

    Feb 25, 2024 23:01

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la "Jaish al-Dhulm" ameuawa katika shambulio la askari usalama wa Iran.

  • Iran: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua za kuwanga mkono watu wa Gaza

    Iran: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua za kuwanga mkono watu wa Gaza

    Feb 25, 2024 07:43

    Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema mataifa yote ya Kiislamu yana wajibu wa kuwaunga mkono Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kuwapa usaidizi wa kivitendo ili kuwafanya waondokane na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili.

  • Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani

    Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani

    Feb 25, 2024 02:54

    John Godfrey, balozi wa Marekani nchini Sudan, amesema katika taarifa ya uingiliaji wa wazi wa mambo yasiyomuhusu ndewe wala sikio kwamba eti ana wasiwasi wa kuimarika uhusiano kati ya Iran na Sudan kwa madai kuwa uhusiano huo utaifanya Iran iisaidie kijeshi Sudan.

  • Kiongozi Mkuu:

    Kiongozi Mkuu: "Kuwa na imani na Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio sababu ya uthabiti na maendeleo iliyopata Iran

    Feb 24, 2024 08:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, "imani juu ya Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio wenzo wa uthabiti na maendeleo ya Iran.

  • Idadi ya wagombea katika uchaguzi wa Bunge nchini Iran yaweka rekodi mpya tangu 1979

    Idadi ya wagombea katika uchaguzi wa Bunge nchini Iran yaweka rekodi mpya tangu 1979

    Feb 23, 2024 22:44

    Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran inaonesha kuwa, idadi ya watu waliojiandikisha kugombea viti vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) imevunja rekodi ya ile iyosajiliwa tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, mwaka 1979.

  • Haj Ali Akbari: Uchaguzi ni fursa nzuri kwa watu wa Iran

    Haj Ali Akbari: Uchaguzi ni fursa nzuri kwa watu wa Iran

    Feb 23, 2024 08:51

    Imamu wa muda wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, uchaguzi ni fursa nzuri kwa watu wa Iran.

  • Iran yaitaka ICJ isitishe ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina

    Iran yaitaka ICJ isitishe ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina

    Feb 23, 2024 00:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya sheria na kimataifa ameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iulazimisha utawala wa Kizayuni uhitimishe sera yake ya kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Kampeni za uchaguzi wa Bunge la Iran zinaanza kote nchini leo hadi Februari 29

    Kampeni za uchaguzi wa Bunge la Iran zinaanza kote nchini leo hadi Februari 29

    Feb 22, 2024 00:13

    Msemaji wa Tume ya Uchaguzi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran amesema: Kampeni za wagombea 15,000 wanaowania viti vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeanza rasmi alfajiri ya kuamkia leo.

  • Amir-Abdollahian: Kura ya turufu ya US ya kuzuia usitishaji vita Ghazza ni janga la kidiplomasia la karne

    Amir-Abdollahian: Kura ya turufu ya US ya kuzuia usitishaji vita Ghazza ni janga la kidiplomasia la karne

    Feb 21, 2024 23:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kitendo cha Marekani ya kupiga kura nyingine ya veto ya kuzuia usitishaji vita kwenye Ukanda wa Ghazza ni maafa na janga la karne la kidiplomasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS