-
NAM: Mashambulizi ya Israel huko Gaza yanapaswa kulaaniwa
Feb 21, 2024 08:06Balozi na Naibu Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kwa niaba ya Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) kwamba: Kuendelea mashambulizi ya kikatili ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Palestina hususan katika Ukanda wa Ghaza, kunapaswa kulaaniwa.
-
Eslami: Iran ni miongoni mwa nchi 5 zinazoongoza katika sekta ya nyuklia
Feb 21, 2024 08:04Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa nchi hii ni kati ya nchhi tano zinazoongoza duniani katika sekta ya nyuklia licha ya vikwazo vya miaka kadhaa vya Magharibi dhidi ya Tehran.
-
Iran yakadhibisha madai ya US ya kuipa silaha Yemen
Feb 20, 2024 09:23Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai kwamba inatuma silaha nchini Yemen na kusisitiza kuwa, madai hayo hayana msingi wowote.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amwambia Guterres: Jamii ya kimataifa isiruhusu mauaji ya watu wa Rafah
Feb 20, 2024 01:04Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akionya kuhusu mauaji ya umati yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wakazi wa Rafah huko Palestina.
-
Iran: Kuipatia Israel dola bilioni 14 ni sawa na Marekani kutoa bakhshishi kwa mauaji ya Wapalestina
Feb 19, 2024 07:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, kuidhinishwa na Baraza la Seneti la Marekani msaada wa dola bilioni 14 kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kunaonyesha kuwa Washington inautuza na kuupa bakhshishi utawala huo kwa kuwaua kwa halaiki raia wasio na hatia wa Palestina katika vita visivyo na mlingano vya Gaza.
-
Iran yatoa mwito wa kufanyika kikao cha dharura cha OIC kujadili mashambulio ya Israel Rafah
Feb 16, 2024 04:27Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito wa kuitishwa kikao cha dharura cha Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kutokana na hali mbaya ya kibinadamu inayoshuhudiwa katika Ukanda wa Ghazza hususan kwenye mji wa Rafah ambao unakabiliwa na hatari kubwa ya uvamizi unaokaribia kufanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran ni miongoni mwa nchi 10 zinazoongoza duniani katika sekta ya bahari
Feb 14, 2024 23:00Naibu Waziri wa Barabara na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bandari na Bahari la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kila mwaka meli 40,000 hupita katika bandari za Iran na kuongeza kuwa, Iran ni miongoni mwa nchi 10 bora duniani katika sekta ya bahari.
-
Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran awataka Waislamu wote kusimama dhidi ya Israel
Feb 14, 2024 22:58Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholamhossein Mohseni-Ejei, amesema kuwa Uimwengu wote wa Kiislamu unapaswa usimame dhidi ya utawala haramu wa Israel na kutumia njia zote zilizopo ili kukomesha ushenzi wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza ulio chini ya mzingiro.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tuko tayari kufanya mazungumzo ya pamoja ya ulinzi na usalama na Saudi Arabia
Feb 14, 2024 09:18Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran iko tayari kufanya mazungumzo ya pamoja ya ulinzi na usalama na Saudi Arabia.
-
Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi
Feb 14, 2024 04:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.